• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Maji Vijijini

PICHA/JINA
CHEO
SIMU
                               Eng. Godeliver J. Gwambasa

Mhandisi wa Maji
+255 784 599 737, / 0756 796 149
maji@ngaradc.go.tz

Halmashauri ya Wilaya ya Ngara imeendelea kutoa huduma ya maji kwa kutumia teknolojia mbalimbali kama vile maji ya bomba ya bubujiko, maji ya bomba ya kusukumwa na mitambo, chemichemi za asili zilizoboreshwa, visima vya pampu za mikono na uvunaji wa maji ya mvua.

Mtandao wa usambazaji maji safi na salama vijijini unakadiriwa kuwa 60.3% hadi kufikia Mwezi Oktoba 2017. Kiwango hiki cha mtandao kimezingatia upatikanaji wa maji salama bila kujali umbali unaotembewa na watumiaji. Hali halisi ya huduma ya maji vijijini ni kama inavyooneka katika jedwali Na.1 hapo chini.

Majukumu ya Idara ya Maji

Idara ya Maji inalo jukumu la kuhakikisha jamii ya Ngara inapata huduma ya maji safi na salama katika umbali wa mita 400 kwa maeneo ya vijijini na mita 200 kwa maeneo ya vijijini. Majukumu mahsusi ya idara ya maji ni pamoja na:

  1. Kuwakilisha Mamlaka ya Mkoa na Wizara ya Maji katika usimamizi wa utekelezaji wa sera ya maji ya taifa ya 2002, kanuni na sheria pamoja na kusimamia rasilimali za maji wilayani.
  2. Kuwezesha wananchi na kuhakikisha kuwa wanapata huduma ya maji safi na salama yanayotosheleza mahitaji ya msingi ndani ya mita 400 kwa upande wa vijijini na umbali wa mita 200 kwa upande wa mjini.
  3. Kuhakikisha kuwa utekelezaji wa miundombinu ya miradi ya maji unaofanywa na wadau wote, unazingatia sera ya maji ya nchi pamoja na viwango vya ubora kiutaalam/kiuhandisi.
  4. Kuratibu uandaaji wa mpango wa maendeleo ya sekta ya maji, mpango wa maendeleo wa mwaka na bajeti ya matumizi ya kawaida.
  5. Kusaidia jamii katika kuanzisha vyombo huru vya kijamii vya kusimamia miradi yao ya maji kwa mujibu wa sheria za maji nchini ili kuongeza tija katika usimamizi na hudumishaji wa miradi ya maji.

Vipaumbele vya Idara ya Maji 

  • Kukarabati miradi ya maji isiyofanya kazi kwa kufanya ukarabati na ukarafati
  • Kujenga miradi mipya ili kuongeza kiwango cha upatikanaji wa maji kwa wananchi.
  • Kujenga uwezo kwa watumishi na jumuiya za watumiaji maji ili kusimamia miradi ya maji.
  • Kuhifadhi vyanzo na rasilimali za maji
  • Mafanikio

 Kwa mwaka wa fedha wa 2018/2019 tumepokea kiasi cha Tshs. 423,044,704.02 za maendeleo, ambapo tumefanikiwa kukamilisha mradi mmoja wa maji katika kijiji cha Mukubu.


TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA VIJIJI 10 

 Taarifa ya utekelezaji wa miradi ya maji ya Vijiji 10 chini ya Program ya Maendeleo ya Sekta ya Maji (WSDP) ni kama inavyoonekana katika jedwali lifuatalo;


MAFANIKIO

 Katika miradi ya vijiji 10 chini ya programu ya WSDP Halmashauri ya Ngara tumefanikiwa kukabidhi  miradi 3 kwa wananchi. Miradi hiyo ni Rulenge, Ngundusi na Mukibogoye. Miradi mingine mitatu (3) ya Munjebwe, Rwinyana na Mukubu haijakamilika kwa 100% lakini wananchi wananufaika na huduma ya maji safi na salama.

CHANGAMOTO

  • Kutokuwepo kwa umeme kwenye vyanzo vya maji kunapelekea kuchelewesha ukamilishaji wa miradi ya maji inayotegemea kutumia nishati ya umeme
  • Utekelezji wa miradi unakwenda kwa kusuasua kutokana na Wakandarasi kukaa mda mrefu nje ya eneo la kazi kwasababu ya ukosefu wa fedha
  • Uvamizi wa vyanzo vya maji ambapo sehemu nyingi Wananchi wanafanya shughuli za kibinadamu ndani ya mita 60 maeneo ya vyanzo vya maji.

 

UTATUZI WA CHANGAMOTO

  • Halmashauri imeshirikiana na TANESCO kubainisha gharama za kupeleka umeme kwenye vyanzo vya maji vinavyohitaji kutumia nishati ya umeme na tayari maombi ya fedha yamepelekwa Wizara ya Maji na Umwagiliaji ili kutekeleza shughuli hii.

 Halmashauri na Wadau mbalimbali wa sekta ya maji wanaendelea kutoa elimu kwa Wananchi ili waache kufanya shughuli za kibinadamu kwenye vyanzo vya maji ili kuepuka kukauka kwa vyanzo hivyo.

Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE (CSEE) 2019 January 09, 2020
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA KIDATO CHA PILI (FTNA) 2019 January 09, 2020
  • MATOKEO YA UPIMAJI WA KITAIFA WA DARASA LA NNE (SFNA) 2019 January 09, 2020
  • Matokeo ya mitihani iliyofanyika 2017 January 30, 2018
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • ZIARA YA MKUU WA WILAYA NA MKURUGENZI MTENDAJI KUTEMBELEA UJENZI WA MADARASA KWA AJILI YA MAPOKEZI YA KIDATO CHA KWANZA 2021

    January 05, 2021
  • MKURUGENZI AWAAGIZA VIONGOZI WA KATA MPAKA VITONGOJI KUHIMIZA MATUMIZI BORA YA VYOO NA USAFI WA MAZINGIRA

    August 12, 2020
  • NGARA YAGEUKA KIVUTIO KWA WENGI MAONESHO YA NANENANE 2020

    August 08, 2020
  • MKUU WA WILAYA NGARA AWASIFU WAKULIMA WA NGARA

    August 07, 2020
  • Tazama zote

Video

Moto Rusumo Agosti 2018
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa