• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

ELIMU KWA UMMA KUHUSU HALI YA KIAFYA KAGERA

17 January 2025

Kwa kipindi cha karibuni nchi mbalimbali duniani zimeendelea kutoa taarifa za uwepo wa visa na vifo kutokana na magonjwa mbalimbali ya mlipuko. Baadhi za dalili za magonjwa zilizotolewa taarifa zinazojumuisha:

  • Homa inayoambatana na kutokwa jasho,
  • Mafua, 
  • Mwili kukosa nguvu,
  • Kutetemeka
  • Baadhi kupata damu katika haja kubwa na ndogo.

Kwa kuzingatia uwepo wa taarifa hizo, Serikali imeendelea kuimarisha ufuatiliaji wa viashiria na tetesi za uwepo wa dalili za magonjwa ya mlipuko. Hadi sasa kuna tetesi zimeripotiwa kwa Mkoa wa Kagera na Serikali imechukua hatua kadhaa za haraka ikiwemo: kuleta timu ya wataalamu; kufanya uchunguzi wa kina kuhusu suala hili; kuchukua sampuli na kufanya vipimo vya maabara.

Wakati hatua nyingine zinaendelea; Timu ya Dharura ya Mkoa, tunatoa wito kwa wananchi wote kutoa ushirikiano kwa kuzingatia kanuni za afya ikiwemo kuchukua tahadhari zifuatavyo:

  1. Nawa mikono mara kwa mara kwa kutumia maji tiririka na sabuni.
  2. Epuka kugusa majimaji mfano mate, matapishi, damu, jasho, mkojo au na kinyesi kutoka kwa mtu mwenye dalili hizi.
  3. Epuka kugusa au kuosha maiti ya mtu aliyefariki akiwa na dalili hizo, toa taarifa kwa wataalam wa afya ili mazishi yafanyike kwa kufuata taratibu za afya na utu.
  4. Kwa kipindi hiki, epuka kugusana na mtu mwingine mfano kusalimiana kwa kupeana mikono, kukumbatiana au kubusiana.

Serikali imejipanga kuhakikisha inaendelea kutoa huduma bora, sahihi na kwa wakati.

Hivyo endapo utaona mtu mwenye mojawapo ya dalili zilizotajwa toa taarifa haraka kwa kituo cha huduma za afya kilicho karibu, ofisi ya serikali ya kijiji/mtaa/kata au piga simu 199 bila malipo au 0774 442 389.

Kwa msingi huo, Serikali inawahimiza wananchi wote kutoa ushirikiano ili kulinda afya ya jamii yetu. Tukumbuke, kinga ni bora kuliko tiba.

Ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa