• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Historia

Asili /Chimbuko

Wilaya ya Ngara ni moja ya wilaya nane (08) za mkoa wa Kagera, Tanzania. Wenyeji wa Ngara ni Wahangaza na Washubi na wanaongea Kihangaza na Kishubi. Kabla ya kuitwa jina la Ngara, ilijulikana kama Kibimba yaani Pori. Chanzo hasa cha jina la Ngara ni sehemu iliyokuwa maalumu kwa mikutano, ambayo ilifanyika chini ya miti mikubwa inayoitwa iminyinya yingara. Hivyo, Mti wa umunyinya ulipandwa halmashauri ya wilaya ya Ngara kama kumbukumbu, kwani umebeba jina la wilaya ya Ngara. (Chanzo: https://www.jamiiforums.com/threads/historia-ya-wilaya-ya-ngara-utamaduni-wa-wakazi-wa-ngara-na-chanzo-cha-jina-la-kabila-la-wahangaza.1193348/).

Eneo

Wilaya ya Ngara ina ukubwa wa eneo lipatalo 3,744 Km2, imegawanyika katika tarafa nne (4) ambazo ni Nyamiaga, Kanazi, Rulenge na Murusagamba, kata 22, vijiji 75 na vitongoji 389.

 Watu wa Ngara 

Wakazi wa wilayani Ngara wamegawanyika katika makabila mawili ambayo ni Wahangaza na Washubi. Kwa mujibu wa sensa ya watu ya mwaka 2012 wilaya ina jumla ya kaya 63,293 zenye watu 320,056, ambapo kati ya hao 152,443 (47%) ni wanaume  na 167,613 (53%) ni wanawake. Ongezeko la watu kati ya sensa ya mwaka 2002 na sensa ya mwaka 2012 ni asilimia 2.7

Hali ya Hewa

Wilaya ya Ngara ina misimu miwili ya mvua, yaani mvua za vuli na za masika. Vuli huanza mwezi Septemba hadi Desemba na masika huanza mwezi Februari hadi Mei.  Kiwango cha mvua kwa mwaka hufikia wastani wa milimita 1400 kwa ukanda wa juu na milimita 800 kwa ukanda wa chini. Wastani wa joto kwa ukanda wa kusini ni 17 °C na ukanda wa kasikazini joto upanda hadi 25 °C.

Shughuli za Kiuchumi

 Uchumi wa wilaya ya Ngara unategema shughuli za kilimo na ufugaji. Mazao makuu yanayolimwa ni kahawa, ndizi, mihogo, mahindi, maharage na mtama kwa upande wa mazao ya chakula. Mazao makuu ya biashara ni kahawa, ndizi na parachichi. Karibu asilimia 95 ya wakazi wa wilaya hii wanategemea kilimo kama chanzo cha mapato na shughuli za kilimo huchangia zaidi ya asilimia 94 ya pato la wilaya.

Orodha ya Viongozi

Matangazo

  • TANGAZO LA TATHMINI YA UJUZI NA UZOEFU KATIKA WILAYA YA NGARA KUTOKA TEMBO NICKEL August 30, 2022
  • MREJESHO WA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023 KWA KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO TAREHE 12 AGOSTI, 2022 September 23, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA NGARA December 04, 2022
  • RIPOTI YA ATHARI ZA KIMAZINGIRA NA KIJAMII MRADI WA MAEGESHO YA MAGARI BENAKO December 01, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • WILAYA YA NGARA YANUNUA MAGARI KUTOKANA NA FEDHA ZA MAPATO YA NDANI

    March 17, 2023
  • BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA RASIMU BAJETI YA HALMASHAURI 2023/2024 NGARA KAGERA

    March 07, 2023
  • KAMATI YA USHAURI YA WILAYA (DCC) YAPITISHA RASIMU YA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2023/2024

    February 22, 2023
  • MHE RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA DKT SAMIA SULUHU HASSAN ATOA PIKIPIKI KWA WATENDAJI WA KATA WILAYANI NGARA KAGERA.

    February 28, 2023
  • Tazama zote

Video

Moto Rusumo Agosti 2018
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa