• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Acheni Tabia ya Kuwakaribisha Wageni Kwani Hamjui Aliyeathirika kwa Ebola

Wakati ilipowekwa: September 7th, 2018

Wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, wametakiwa kuacha tabia ya kuwakaribisha wageni kutoka nchi jirani wanaokuja kufanyakazi, kwani hawawezi kujua aliyeathirika, na asiyeathirika kwa ugonjwa wa ebola.

Mkuu wa Wilaya ya Ngara Lt. Col. Michael Mntenjele ametoa rai hiyo, wakati wa Baraza la waheshimiwa madiwani lililokaa Agosti 29, 2018, katika ukumbi wa Halamshauri ya Wilaya ya Ngara.

Aliliambia Baraza hilo kwamba tishio la ugonjwa huo ni kubwa, kwani mtu akishaambukizwa anakaa siku takribani 21 bila kuonyesha dalili yoyote ya ugonjwa huo, mnaweza kuona sasa umuhimu wa kuchukua tahadhari.

“Niwaombe ndugu zetu wenye tabia ya kuwaingiza wageni kwenye familia zetu, ili  watufanyie kazi, akija ameambukizwa uwezi kuona dalili wala kujua; atakufanyiakazi siku chache kasha anaambukiza familia nzima.” Alisema Mkuu huyo wa Wilaya Lt. Col. Mntenjele.

Amesema ugonjwa wa ebola mtu akiupata ana asilimia hamsini kupona na asilimia hamsini kupoteza maisha, na kuongeza kwamba hata vivyo asilimia hamsini ni kwa nchi zilizoendelea ambao wana miundimbinu mizuri ya matibabu.

Wakati huo huo, amelishukuru kwa kusimamia na kufuata maelekezo ya uandikishaji wa vitambulisho vya taifa, kwani zoezi hilo linaendelea vizuri ambapo takribani wananchi katika kata 18 wamejiandikisha kupata vitanbulisho hivyo.

Amezitaja kata za Kabanga, Mabawe, Mugoma na Kirushya kuwa hazijakamilisha zoezi hili, na kuongeza kwamba kuna taarifa zisizo rasmi, kwamba baadhi ya viongozi wamekuwa wakitaka kuwaandikisha wafanyakazi wa ndani kinyume cha utaratibu.

Amesema kitendo hicho ni kibaya sana, kwani kwa kufanya hivyo mnahatarisha mstakabari wa usalama wa nchi yetu, kwa sababu ukimuandikisha mrundi maana yake unamhalalisha kuwa ni mtanzania.

“Kwa hiyo ninaomba tuchukue tahadhari, kwa kutumia vyombo vyetu vya ulinzi na usalama, tutafanya ufuatiliaji tukijilidhisha, kwamba kuna watu wanaofanya hivyo, hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao.” Alisema Lt. Col. Mntenjele

Aidha, amewaomba waheshimiwa madiwani watoe elimu juu ya umuhimu wa kuwaandikisha watanzania pekee, huku akidai kwamba waandikishwe watanzania pekee wenye sifa za kupewa vitambulisho hivyo.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa