• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Acheni Vitendo vya Ukatili kwa Watoto Waleeni Wakue; Wafanyakazi wa NMB

Wakati ilipowekwa: January 4th, 2019

Wanawake Katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, wametakiwa kuacha vitendo vya ukatili dhidi ya watoto, baada ya baadhi ya wanawake hao, kuwaua au kuwatelekeza watoto hao katika mazingira hatarishi baada ya kujifungua.

Wito huo umetolewa na mmoja wa wafanyakazi wa Benki ya National Microfinance Bank  tawi (NMB) la Ngara mkoani Kagera Bi Witness Mwanga, wakati walipotembelea kituo cha watoto yatima cha ANGEL'S HOME kinachosimamiwa na Kanisa katoliki Rulenge wilayani Ngara.

"Sisi tungetelekezwa au kuuawa leo tusingeliweza kuwatembelea watoto hawa, wanaohitaji msaada mkubwa, wito wangu kwa wazazi ogopeni Mungu na mamlaka zilizo juu yenu kwa kuwapa watoto haki ya kuishi" Alisema Bi. Mwanga.

Bi Mwanga amesema kuzaa mtoto ni Baraka; hivyo mtoto anahitaji malezi, matunzo na kupewa haki zake za msingi, kuliko kumtupa au kumsababishia maisha magumu kwa kulelewa na watu wengine.

Ndugu Meleck Manyama amevitaja vitu vilivyotolewa na wafanyakazi wa NMB tawi la Ngara wametoa msaada wa vyakula, vinywaji, mavazi, sabuni, mafuta ya kupikia na vifaa vya kujifunzia kwa wanaosoma, vyote vikiwa na thamani ya Shilingi 340,000.

Ndugu Manyama amesema wao kama sehemu ya jamii, wamechangishana na kupata kiasi hicho kisha kuungana na watoto hao kwa kuwapatia gawio la mapato kama sadaka yao kwa kuuanza mwaka mpya 2019.

"Mazingira tuliyoyaona watoto hao wanahitajika msaada zaidi, kutoka kwa watu wenye mapenzi mema ili viwasaidie na kuwatia moyo walezi wao, ambao ni masista wa kanisa kanisa Katoliki na kwa jinsi wanavyowahudumia Mungu awabariki" Amesema Manyama

Nao watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Angle's home wametoa Shukrani zao kwa zawadi walizopokea huku wakinyanyua mikono kuwaombea kwa Mungu wakijawa na furaha,wakicheza na kuimba.

Aidha, mkuu wa kituo hicho Sr. Mariagholeth Felix amewashakuru wafanyakazi wa Benki ya NMB na kuongeza kwamba watoto wanaolelewa kituoni hapo ni wenye umri wa miezi sita hadi miaka 20 ambao walipatikana baada ya mama zao kufariki kwa kujifungua au kuokotwa.

Sr. Felix amewashukuru pia watu mbalimbali wanaofika kutoa msaada kwa watoto katika kituo hicho, huku akisema kwamba kituo hicho kwa sasa kina watoto wapatao 47 wanaotoka sehemu mbalimbali hapa nchini.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa