• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Anthony Apokelewa Amani Vumwe English Medium Pre-Primary and Secondary School

Wakati ilipowekwa: April 11th, 2018

Mtoto Anthony Petro (10) wa kijiji cha Ngundusi katika Halamashauri ya Wilaya ya Ngara mkoani Kagera, alipokelewa Aprili 09, 2018, katika shule ya Amani Vumwe English Medium Pre-Primary and Secondary School wilayani Mwanga Kilimanjaro, kwa ajili ya kuanza masomo ya elimu ya msingi.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilayani ya Mwanga Ndugu Golden Ally Mgonzo, alimvisha Anthony mataji ya maua, kuonesha upendo na jinsi wananchi wa wilaya hiyo wanavyomthamini.

Mkurugenzi huyo wa Halmashauri ya Mwanga ndugu Mgonzo alimutakia mototo Anthony Amani, upendo, na baraka tele katika masomo yake na kumuombea Baraka za Mwenyezi Mungu zimtangulie katika maisha yake mapya.

Alisema mtoto huyo amekuwa na ujasiri, utiii, heshima, adabu, juhudi na hasa ya kuitunza familia bila kuwa na ubinafsi au uchoyo.

Akitumia mfano wa yai lililozama ndani ya maji, Mkurugenzi huyo aliwaonesha watu kuwa, Anthony alizama katika dimbwi la umaskini, ambapo kwa ujasiri wake ameibuka aikwa tunu katika familia.

"Tutahakikisha kipaji chake kinalindwa kwa weledi mkubwa, na kuelekeza kile kitakachokuwa matamanio yake katika maisha." Alisema Mgonzo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara ndugu Aidan John Bahama, aliwashukuru wakazi wa Mwanga na mmiliki wa shule hiyo, kwa mapokezi mazuri, ambayo hakuyatarajia.

Alisema baada ya Anthony kupokelewa shuleni hapo, anakwenda kuwatafuta wahisani watakaosaidia kuwasomesha dada zake, na kuongeza kuwa mmiliki wa shule ya Rusumo New Vision English medium ameonesha nia ya kuwapokea shuleni kwake.

Naye Afisa Elimu idara ya Msingi wilayani Mwanga ndugu Allan Saidi, alisema mtoto huyo ataishi katika mazingira salama na uangalizi mkubwa, ili aweze kutimiza azima yake.

Alisema idara yake itakuwa ikiratibu maendeleo ya taaluma na mahitaji yake, kama yataweza kupungua Halmshauri kupitia idara hiyo, itawajibika kusaidia kutatua changamoto za kiafya, kimwili na hata za kiakili.

Aidha, Afisa Ustawi wa Jamii wilayani Ngara ndugu Mussa Balagondoza, alimkabidhi mtoto Anthony kwa Afisa Ustawi wa Jamii wa Wilaya ya Mwanga ndugu Alex Kameo, akwaomba kuwa karibu na mtoto huyo.

Alisema kama shule itamtumia katika udadisi alio nao, akapata taaluma ya darasani, ataweza kufanya mambo makubwa, wasiyotegemea kwani anao upeo mkubwa.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa