• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Changieni Chakula Kufanikisha Utoaji Dawa za Minyoo na Kichocho Julai 06, 2018

Wakati ilipowekwa: July 3rd, 2018

Wazazi katika Hamashauri ya Wilaya ya Ngara, wametakiwa kuchangia chakula kitakachotumika siku ya ugawaji wa dawa za minyoo na kichoho shuleni tarehe 6 Julai 2018, huku wakisistizwa kutowaruhusu watoto hao, kupata chakula hicho majumbani mwao, ili walimu waweze kusimamia zoezi hilo.

Hayo yamesemwa na Mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Dr. Revocatus Ndyekobora Julai 03, 2018; wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya jinsi ya kugawa dawa hizo kwa watoto wa shule za msingi wilayani humo, yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri.

“Nawaomba wazazi na walimu mhakikishe watoto wote wenye umri kati ya miaka 05 – 14, wanahudhuria bila kukosa shuleni, ili waweze kupata dawa za kuwatibu magonjwa ya minyoo pamoja na kichocho.” Amesema Dr. Ndyekobora.

Amewataka wazazi wachangie chakula cha kutosha na kiandaliwe shuleni, ili watoto hao waweze kula chakula hicho chini ya usimamizi wa walimu watakaohakikisha kila mtoto atakayepata dawa hizo hakuna madhala yatakayojitokeza.

Aidha, amefafanua kwamba dawa za minyoo zitamezwa asubuhi, kwa sababu watoto inabidi wazimeze kabla ya kupata chai au chakula chochote; huku dawa za kuzuia kichocho watazimiza baada ya kula na kushiba.

Dr. Ndyekobora amesema wamevuka lengo walilojiwekea kitaifa mwaka 2017, kwani walilenga kutoa dawa kwa watoto 79, 156 wakaandikishwa watoto 77,869 na kufanikiwa kuwafikia watoto 68,584 sawa na asilimia 86.2%; mwaka 2018 wamelenga kuwapata watoto wapatao 80,000.

Hata hivyo, Mganga mkuu huyo ameiomba serikali kutafuta utaratibu wa kutoa dawa hizo kwa watoto pasipo kutegemea wafadhiri, kwani wafadhiri wanaposhindwa kutoa fedha hizo kwa wakati, zoezi linazorota na kusababi waathirika kupata matatizo zaidi.

Amewakumbusha baadhi ya wazazi wanaozembea kuchangia chakula siku ya utowaji wa dawa hizo, kuacha tabia hiyo kwani inakwamisha zoezi hilo, na kuwakatisha tamaa wazazi wenye moyo wa kuchangia, pamoja na kukwamisha juhudi za serikali katika kutokomeza magonjwa hayo.

Mganga mkuu huyo amesema anatambua ushikiriano na msaada mkubwa walipupata kutoka ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara pamoja na ofisi ya Mkuu wa Wilaya katika kutekeleza zoezi hilo.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa