• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Chukua Hatua kwa Wakuu wa Shule Ambao Hawajakamilisha Maabara

Wakati ilipowekwa: August 30th, 2018

“Mheshimiwa Mkurugenzi chukua hatua kwa wakuu wote wa shule za sekondari waliopewa fedha za kukamilisha maabara na hawajakamilisha shughuli hiyo, hatuwezi kuvumilia wakuu wa shule wanaokwamisha utekelezaji wa shughuli za serikali.” Aliagiza Mkuu wa Wilaya ya Ngara Lt. Col. Michael Mntenjele.

Lt. Col. Mntenjele alitoa agizo hilo wakati wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani, lililofanyika Agosti 29, 2018 katika ukumbi wa Halamshauri ya Wilaya ya Ngara kufuatia tuhuma zilizotolewa na waheshimiwa madiwani kuhusu maabara za shule ya Kanazi na Murugwanza kujengwa chini ya kiwango.

Amesema kwamba katika utekelezaji wa shughuli mbalimbali changamoto haziwezi kukosa, akawaagiza waheshimiwa madiwani kusimamia kwenye maeneo ambayo yana changamoto ili isije kuonekana hata viongozi ni sehemu ya kukwaza kazi hizo.

Akitoa mfano, Lt. Col. Mntenjele amesema shuele ya sekondari ya Kanazi imepewa milioni 19 ya kukamilisha maabara, lakini kilichofanyika pale ni sawa na ziro na kwamba shule za sekondari nyingine zimefanyakazi nzuri kwani maabara zao aimekamilika.

“Ukienda katika shule nyingine zilizopewa fedha za kukamilisha maabara zinapendeza unaona kweli kazi imefanyika, na  kwa kweli unasema kama watoto wakishindwa mitihani yao ya sayansi anakuwa ni yeye mwenyewe kwani mazingira yanaruhusu watoto wasome.” alisema Lt. Col. Mntenjele

Alisema hatutaeleweka kama serikali inaleta fedha kwa ajili ya kufanyakazi, halafu kazi haionekani, inasikitisha sana na kuongeza kwamba uzembe huo unawakwamisha watoto kufanya vizuri.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Aidan J. Bahama ametekeleza maagizo ya Mkuu wa Wilaya ya Ngara Lt. Col. Michael Mntenjele kwa kuwaagiza Mkaguzi wa Ndani na TAKUKURU kufanya ukaguzi katika shule ya sekondari za Kanazi na Murugwanzi.

Amewataka kukagua kwa kina matumizi ya fedha waliyopewa katika hizo na wamletee ripoti; “Nendeni pale kagueni matumizi ya fedha iliyotolewa kisha mniletee ripoti nikishapata taarifa zote mbili nitazisoma kasha nitachukua hatua stahiki.” Alisema ndugu Bahama

Aidha, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Erick Nkilamachumu amesisitiza kwamba mkaguzi wa ndani na ofisi ya TAKUKURU wamepewa kazi ambayo inabidi waifanye haraka iwezekanavyo ili hatua za kisheria zichukuliwe.

“Mmepewa kazi tusaidieni kama mtu amepewa milioni tano basi kazi iwe ya milioni tano siyo mtu anapewa milioni tano kazi hata haishabiiani na kiwango cha fedha alichopewa.” alisema Ndugu Nkilamachumu.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa