• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

DC AFANYA KIKAO KAZI NA WAKUU WA SHULE ZA SEKONDARI NA WALIMU WAKUU WA SHULE ZA MSINGI- NGARA

Wakati ilipowekwa: February 9th, 2024

Leo Mkuu wa Wilaya ya Ngara Col, Mathias J. Kahabi akiwa na katibu Tawala wilaya Bi. Hatujuani A Lukali, Afisa Elimu Sekondari Mwl.Enock Ntakisigaye aliyewakilisha Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya  Wilaya Ndg Solomon Kimilike, Dso, Ocd, Pccb, Afisa elimu Msingi Bi Josline Bandiko, Maafisa elimu Taaluma Msingi na Sekondari.

Mhe Dc Kahabi amefanya kikao kazi na Wakuu wa shule zote za sekondari , walimu wakuu wa shule zote za Msingi wilayani,  Maafisa elimu kata zote na watendaji wa kata zote.

Kikao hicho kimefanyika ukumbi wa shule ya Sekondari Ngara Uliopo Ngara mjini.

Lengo la kikao kazi hicho ilikuwa ni kuweka Mkakati wa kuinua taaluma shule za Msingi na sekondari pia kupitia matokeo ya kumaliza Elimu Msingi na upimaji Darasa la 4,  matokeo ya kidato Cha 6,4 na matokeo ya upimaji kidato Cha pili.

Aidha yamefanyika Majadiliano Mbalimbali  baada ya Majadiliano imewekwa mikakati ya kuboresha Elimu wilayani ambayo ni:

1. kutoa motisha Kwa walimu na wanafunzi wanaofanya vizuri.

2. Kuwa na mitihani ya pamoja ya Wilaya Kwa shule za Msingi na sekondari.

3. Wanafunzi wote kupatiwa chakula Cha mchana Kwa kushirikisha wazazi na wadau wengine.

4. Shule kutoa mazoezi Kila siku Kwa wanafunzi.

5. kamati za kudhibiti utodo za  wilaya na kata kuanza kufanya kazi mara moja kuthibiti utoro.

6. Kuwepo Kwa msawazo wa Walimu ili kupunguzwa tatizo  Kwa shule zenye walimu wachache.

7. uwa na mitihani ya pamoja ya Wilaya Kwa shule za Msingi na sekondari.

Mwisho Mkuu wa Wilaya Mhe Col.Kahabi aliwataka kufanyiwa kazi mikakati  yote pia alisisitiza usimamizi  madhubuti   wa miradi ya Maendeleo inayopekekwa shuleni moja Kwa moja.

Aidha Mhe Col. Kahabi alimshukuru na Kumpongeza Kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassani Kwa jitihada zake kuleta Miradi ya maendeleoi Wilayani Ngara ikiwa Ujenzi wa vyumba vya Madarasa Shule za zamani na Ujenzi wa Shule Mpya, matundu ya vyoo, nyumba za walimu na utengdnezaji wa Madawati, wilayani.

Walimu wakuu wa shule za Msingi , Wakuu wa shule za sekondari, maafisa elimu kata, na watendaji wa kata wakiwa kwenye kikao kazi kilichoongizwa na Mhe Col Mathias J Kahabi ukumbi wa Ngara sekondari.


Wakuu wa shule ,walimu Wakuu wakiwa kwenye Kikao kazi kilichofanyika Ngara sekondari.


Mkuu wa wilaya Mhe  Col. Mathias J Kahabi aliyesimama akiongea na walimu Wakuu, Wakuu wa shule, Maafisaelimu Kata, watendaji Kata katika Kikao kazi kilichofanyika Ngara sekondari.



ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa