- Mwanzo
- Kuhusu sisi
- Utawala
- Fursa za uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
NGARA UPDATES
13/05/2025
Mhe Col Mathias Julius Ķahabi Mkuu wa Wilaya ya Ngara ametembelea miradi mbalimbàli Ambayo itatembelewa na Mwenge wa Uhuru .
Mhe Col Kahabi katika ziara hiyo alifuatana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya Ndg Emmanuely Kulwa, kamati ya Usalama, Wataalam wa Halmashauri, Meneja RUWASA na Meneja TARURA.
Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa
Mhe Col. Mathias J Kahabi amepongeza miradi ni Mizuri pia kwa baadhi ya miradi ametoa maelekezo ya kufanyiwa kazi. Aidha Amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassani kwa kutoa fedha nyingi za miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali wilaya ya Ngara
Mhe Col Mathias J kahabi Alipotembelea na kukagua mradi wa Zahanati ya Rulenge akiwa na kaimu Mkurugenzi Mtendaji wilaya ,kamati ya usalama na wataam
Mhe Col kahabi akiwa ndani ya Zahanati ya Rulenge na Mhe Diwani kata hiyo
Mhe Col Kahabi akikagua Daraja kumwendo kata ya Mbuba
Daraja la kumwendo akipokea taarifa ya mradi huo
Mhe Col kahabi Mkuu wa wilaya alipotembelea mradi wa uwekezaji shamba la vijana kilimo cha Parachichi hekari 28 Ibuga kata ya Kabanga
Mradi wa uwekezaji vijana
Taarifa ya ujenzi wa shule ya Mchepuo wa kiingereza unaojengwa kwa fedha za Mapato ya Ndani Nakatunga Ngara mjini
Mhe Col Kahabi Mkuu wa Wilaya wakiwa kwenye mradi wa ujenzi shule ya kiingereza ya Halmashauri. Inayojengwa Nakatunga Ngara mjini
Mhe Col Kahabi akiwa kwenye mradi wa ujenzi wa ukumbi wa kisasa na fremu za maduka Ngara mjini
Mhe Col kahabi alipotembelea mradi wa ujenzi wa ukumbi na frem za maduka akiwa na ndg Emmanuel kulwa kny Mkurugenzi Mtendaji Wilaya
Mhe Col Kahabi akiwa na Ndg Emmanuely kulwa kny Mkurugenzi Mtendaji wilaya pamoja na Bi Hatujuani Ally Lukali katibu tawala wilaya wakiwa kwenye mradi wa ujanzi Shule mpya ya Amali kasharazi kata ya Rusumo
Eng Simon Mtuka akitoa maelezo ya Mradi kwa Mhe Col Mathias kahabi Mkuu wa wilaya Ngara
www.ngaradc.go.tz
Ngara District Council
Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara
Simu ya mezani: 0282226016
Simu ya mkononi:
Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz
Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa