• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

DC - COL KAHABI ATEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

Wakati ilipowekwa: May 13th, 2025

NGARA UPDATES

13/05/2025

 Mhe Col Mathias Julius Ķahabi Mkuu wa Wilaya ya Ngara ametembelea miradi mbalimbàli Ambayo itatembelewa na Mwenge wa  Uhuru . 

Mhe Col Kahabi  katika ziara hiyo alifuatana na  Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya Ndg Emmanuely Kulwa, kamati ya Usalama, Wataalam wa Halmashauri, Meneja RUWASA  na Meneja TARURA.

Miradi iliyotembelewa na kukaguliwa

  1. Ujenzi wa Shule ya Amali  kijiji cha kasharazi kata ya Rusumo (Sekta ya  Elimu)wenye gharama ya tsh Bilion1,600 000,000/=
  2. Mradi wa Maji uliopo kumuyange kata ya Nyamiaga ( Sekta ya Maji )wenye gharama ya Tshs 389,926,487/=
  3. Mradi wa ujenzi Ukumbi wa kisasa na frem za Maduka Ngara mjini ambao ni fedha za Mapato ya ndani ( sekta ya Biashara) wenye gharama ya Tsh 600,000,000/=
  4. Ujenzi wa Shule mpya ya Halmashauri Mchepuo wa kiingereza Nakatunga Ngara mjini fedha za mapato ya Ndani Tshs 530,000 000/=
  5. Eneo la banda na Uchaguzi na Mapambano dhidi ya Rushwa  Kabanga stand
  6. Mradi wa uwekezaji vijana shamba la parachichi  hekari 28 Ibuga kata ya  kabanga mradi wenye thamani ya tsh Milion 250,000,000.00/=
  7. Mradi wa ujenzi wa Daraja la Kumwendo Kata ya Mbuba hadi kukamilika utatumia gharama tsh Milion 736,000,000=
  8. Mradi wa ujenzi wa kituo cha Afya kata ya Rulenge wenye gharama ya Tshs Milion 146,000,000=

Mhe Col. Mathias J Kahabi amepongeza miradi ni Mizuri  pia kwa baadhi ya miradi ametoa maelekezo ya kufanyiwa kazi. Aidha Amempongeza  Rais wa Jamhuri ya Muungano  wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassani kwa kutoa fedha nyingi za miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali wilaya ya Ngara

Mhe Col Mathias J kahabi  Alipotembelea na kukagua mradi wa Zahanati ya  Rulenge akiwa na kaimu Mkurugenzi Mtendaji wilaya ,kamati ya usalama na wataam


Mhe Col kahabi akiwa ndani ya Zahanati ya Rulenge na Mhe Diwani kata hiyo


Mhe Col Kahabi akikagua Daraja kumwendo  kata ya Mbuba


Daraja la kumwendo  akipokea taarifa ya mradi huo


Mhe Col kahabi Mkuu wa wilaya alipotembelea  mradi wa uwekezaji shamba la vijana kilimo cha Parachichi  hekari 28 Ibuga kata ya Kabanga


Mradi wa uwekezaji vijana


Taarifa ya ujenzi wa shule ya Mchepuo wa kiingereza unaojengwa kwa fedha za Mapato ya Ndani  Nakatunga Ngara mjini


Mhe Col Kahabi Mkuu wa Wilaya wakiwa kwenye mradi wa ujenzi  shule ya kiingereza  ya Halmashauri. Inayojengwa Nakatunga Ngara mjini


Mhe Col Kahabi akiwa kwenye mradi wa ujenzi wa ukumbi wa kisasa na fremu za maduka Ngara mjini


Mhe Col kahabi alipotembelea mradi wa ujenzi wa ukumbi na frem za maduka akiwa na ndg Emmanuel kulwa kny Mkurugenzi Mtendaji Wilaya


Mhe Col Kahabi akiwa na Ndg Emmanuely kulwa kny Mkurugenzi Mtendaji wilaya pamoja na Bi Hatujuani Ally Lukali katibu tawala wilaya wakiwa kwenye mradi wa ujanzi Shule mpya ya Amali kasharazi kata ya Rusumo


Eng Simon Mtuka akitoa maelezo ya Mradi kwa Mhe Col Mathias kahabi Mkuu wa wilaya Ngara


www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa