• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

DC KAHABI AFANYA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO WILAYANI - NGARA KAGERA

Wakati ilipowekwa: March 13th, 2024

Mkuu wa Wilaya Mhe Col Mathias J. Kahabi amefanya ziara ya Kutembelea na kukagua Miradi ya Maendelea Wilayani Ngara ambapo amefuatana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya, Mwakilishi wa OCD,Mwakilishi wa DSO Katibu CCM Bi Anastazia Amasi, Mkiti wa Jumuiya ya Wazazi Cde. Chrispine Kamugisha, katibu wa Wazazi Wilaya , Cde. Abdallah Kirobi, Wataalam wa Halmashauri na Afisa Tarafa Nyamiaga Ndg Jawadu Yusuph.

Mhe Col Kahabi na timu aliyefuatana nayo wametembelea na kukagua Miradi ifuatavyo 

  1. Ujenzi wa Jengo la utawala Makao Makuu Halmashauri Ngara Mjini 
  2. Nyumba ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri iliyopo Ngara mjinil
  3. Karakana za ushonaji, uashi na Maabara ya kompyuta chuo cha wananchi Ngara FDC Remela Kata ya Kanazi.
  4. Ujenzi wa Hospital ya Wilaya  iliyopo kata ya Mbuba,
  5. Ujenzi wa chuo cha VETA Wilaya (Ngara DTC) Mamlaka ya mji mdogo wa Rulenge.
  6. Mradi wa maji  ujazo wa tenki Lita 230,000 Kabanga 
  7. Vyumba Vitatu vya Madarasa Shule ya Msingi Kanazi

Mkuu wa Wilaya Mhe Col Kahabi amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan Kwa kuendelea kuleta fedha za Miradi ya Maendeleo Wilayani Ngara.

Baada ya ziara kimefanyika Kikao Cha majumuisho Kwa Miradi waliyoipitia.

Mhe Col. Mathias J. Kahabi Mkuu wa wilaya Ngara akiwa na kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya Bi Sabra Mwankenja, katibu CCM Bi Anastazia Amasi, Mkiti wa Wazazi Wilaya Cde Christine Kamugisha,Katibu Wazazi Cde Abdalah kirobi, Mwakilishi wa OCD, Mwakilishi wa DSO, Wataam Kutoka Halmashauri.


Mhe Col.Mathias J.Kahabi Dc Ngara akisikikiza taarifa ya ujenzi  wa Jengo la Utawala Makao Makuu Halmashauri uliopo Ngara Mjini.


Mhe Col Mathias J. Kahabi akiwa na timu aliyefuatana nayo Kutembelea na kukagua ujenzi wa hospitali ya wilaya iliyopo Mbuba.


Mhe. Col Kahabi akiwa na wataalam wa Halmashauri kaimu Afisa mipango Ndg Boniface Mwakikuti, Eng Sanga, Afisa ugavi Raymond Leonard wakikagua ujenzi wa Hospitali ya Wilaya iliyopo Mbuba.



Mhe. Col Kahabi Dc Ngara akiwa na katibu wa CCM Wilaya Bi Anastasia Amasi, Mkiti Jumuiya ya Wazazi Cde Chrispine kamugisha, kaimu Afisa mipango Ndg Boniface Mwakikuti wakiwa chuo cha Wananchi Remela kukagua shughuli za Tehama,ushonaji na uashi.


Mhe col Kahabi wakikagua shughuli za ushonaji chuo cha Maendeleo ya wananchi Ngara ( Remela FDC).




Col Mathias Julius Kahabi Dc Ngara alipotembelea na kukagua mradi wa maji Kabanga.


Tenki la maji lenye ujazo wa Lita 230,000.



Vijana chuo cha Maendeleo ya wananchi Ngara (Remela FDC).



Ujenzi wa hospital ya Wilaya iliyopo Mbuba.





ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa