• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Fanyeni Biashara kwa Kufuata Taratibu Zilizowekwa na Serikali

Wakati ilipowekwa: April 13th, 2018

Wafanyabisahara katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, wametakiwa kufanya biashara kwa kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa na serikali, ili waweze kujiepusha na madhara yanayoweza kujitokeza kwa kuvusha bidhaa kwa kutumia njia za panya.

Mwenyekiti wa Wakurugenzi wa Mamlaka ya Biashara na Masoko ndugu Christopher Chiza, ameyasema hayo wakati akiongea na wafanayabiashara wa Ngara mjini, na Kabanga Aprili 13, 2018, katika ukumbi wa Halmashauri na Kabanga sokoni.

Amesema kukwepa kodi kunalisabiashia taifa kukosa kodi; huku akisistiza kuwa si hilo tu kwani madhara yake yanawafuata hata wafanyabiashara hao, kwa kupata madhara na hasara pia.

Aidha, amesema kuwa lengo la ziara yao nikuwafahamisha wadau shughuli za udhibiti wa biashara, zinazofanywa na Mamlaka ya biashara na masoko, pamoja na kuwatangazia fursa zinazopatikana katika nchi zinazotuzunguka.

“Wafanyabiashara wetu lazima wazijue fursa na changamoto zilizoko katika nchi jirani, na Mamlaka ya biashara na masoko inao wajibu huo, na lengo hasa la kikao chetu ni hilo.” Alisema ndugu Chiza.

Kwa upande wao, wafanyabiashara walishukuru uongozi wa Mamlaka kwa kuwapanua mawazo, kwani wamejifunza vitu vingi kinyume na matarajio yao, wameomba kupata mafunzo, ili yaweze kuwapatia mwanga zaidi; wazo aliloridhia Mwenyekiti wa Mamlaka hiyo.

Hata hivyo, wamesema wanakero nyingi zinazowakabili likiwemo la kukatika kwa umeme, kodi kubwa pamoja na vikwazo wanavyopata, wanapokwenda kuuza bidhaa nchi jirani; Mwenyekiti huyo wa Mamlaka amewaahidi wadau hao kuwa atayafanyiakazi matatizo yao.

Kikao hicho kiliwajumuisha wafanyabiashara wa mjini Ngara, Rulenge, Rusomo na Rulenge pamoja na wale wa Kabanga, na wajumbe walipata fursa ya kuongea na uongozi wa Mamlaka ya Mapato mpakani Kabanga.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa