• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Hakikisheni Mfumo wa Kutambua Viashiria Hatarishi Unatumika; Mbekenga

Wakati ilipowekwa: July 24th, 2018

Wakurugenzi wa Halmashauri zote hapa nchini wametakiwa kutoa ushikiano kwa wakuu wao wa idara ili wahakikisha mfumo wa kutambua viashiria hatarishi unaanzishwa na unatumika ili kuzisaidia Halmashauri hizo kufikia malengo waliyojiwekea.

Wito huo umetolewa na Mkaguzi wa Ndani Ofisi ya Idara ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Wizara ya Fedha Ndugu Onesimo Mbekenga Julai 24, wakati wa mafunzo kazini yaliyowajumuisha wakuu wa idara wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara.

Ndugu Mbekenga amesema kwamba serikali iliamua kuanzisha mfumo huu wa usimamizi wa vihatarishi kwenye Halmashauri na taasisi za umma ili ziweze kufikia malengo yake waliyojiwekea.

“Mfumo huu unasaidia kudhibiti vihatarishi ambavyo havikutarajiwa wakati taasisi zinaweka malengo yake, na kwamba vihatarishi hivyo vinaweza kuwa vizuizi vya kuwazuia msifikie malengo yenu kabisa au kwa wakati mliopanga.” Alisema Ndugu Mbekenga.

Kwa wakuu wa idara wanawajibu kuainisha vihatarishi kulingana na malengo waliyojiwekea katika idara zao; hivyo mfumo huu utawasaidia kutambua matatizo yalipo, badala ya kusubiri hadi mwishoni na kuanza kushika uchawi.

Kwa hiyo, kuwa na huu mfumo kunaisaidia Halmashauri kutambua vihatarishi ambavyo havikutarajiwa kuweza  kujitokezaa na kusababisha madhara kwenye mipango na malengo waliojiwekea.

Kuanzisha mfumo huu serikali inalenga kupunguza viashiria hatarishi katika Halmashauri na taasisi zake ili ziweze kufikia malengo yaliyopangwa na serikali kufikiwa katika kutekeleza miradi husika.

Mfumo huu unawahakkikishia wadau wa taasisi za umma kwamba malengo yaliyopangwa yataweza kufikiwa au la; huku ukirahisisha mawasiliano kati ya mkuu wa idara na wakuu wengine wa idara pamoja na watumishi ndani ya Halmashauri husika.

Ameonya kwamba kutozingatia mfumo wa kuthibiti vihatarishi kazini kunaweza kusababisha kutofikia kwa malengo ya Halmashauri; hivyo akawataka wakuu hao wa idara kutumia mfumo huu.

Wakuu wa idara wameishukuru Ofisi ya Ukaguzi wa Ndani Wizara ya Fedha, kwa kutambua mapungufu yaliyokuwa yakijitokeza katika Halmashauri na Taasisi za serikali, katika kukabiliana na viashiria hatarishi.

Aidha, wamesisitiza kwamba zoezi hili liwe endelevu, ili Halmashauri na taasisi za umma ziweze kufikia malengo na kuyafikia; huku wakizibi viashiria ambavyo vinaweza kuwa vikwazo katika kufikia malengo yao.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa