• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Hakikisheni Watoto Waliochaguliwa Kidato cha Kwanza Wanaripoti Shuleni

Wakati ilipowekwa: March 6th, 2018

Watendaji wa kata na vijiji katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara wametakiwa kusimamia misingi, na maadili ya uongozi wao, wakati wanafuatilia watoto waliochaguliwa kujiunga kidato cha kwanza, ambao hawajaripoti shuleni mwaka huu. 

Mkuu wa wilaya ya Ngara Lt. Col. Michael Mntenjele ameyasema hayo Machi 02, 2018 wakati akifunga kikao cha kamati ya ushauri cha wilaya kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri.

“Kuna tetesi kuwa baadhi ya watendaji wa kata na vijiji mnachukua fedha kwa wazazi ili wasiwapeleke watoto shuleni, tabia hiyo ikome mara mara moja; mnatakiwa kuzingatia misingi ya uongozi na maadili ya kazi yenu; kinyume na hapo hatua za kisheria zitachukuliwa dhidi yenu.” Alisema Lt. Col. Mntenjele.

Amesema wakati tunaelekea mwishoni mwa watoto hao kuripoti shuleni, ambayo ni Machi 30, 2018, watendaji wote wanatakiwa kutoa taarifa ya utekelezaji ya wanafunzi, ambao hawajaripoti shuleni ili hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya wazazi wanaozorotesha zoezi hili.

Aidha, wajumbe wa kikao hicho walishauri kuwa katika shule zenye walimu wawili au zaidi wanaofundisha masomo ya aina moja, wahamishiwe katika shule ambazo zina uhaba wa masomo hayo ili kuleta ufanisi Zaidi.

Walimtaka Afisa elimu sekondari kuhakikisha kuwa walimu wa masomo ya sayansi wanapelekwa kwa kila shule, ili wanafunzi waweze kufundishwa masomo hayo ipasavyo.

Akijibu hoja hizo kwa niaba ya Afisaelimu sekondari ndugu Jared Nyaonge amesema kuwa kwa sasa walimu wanapangiwa vituo vya kazi  kutoka kwa Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), hivyo wanaripoti moja kwa moja vituoni kwao (shule walizopangiwa); kwa hiyo ofisi ya elimu sekondari haina mamlaka ya kuwabadilishia vituo walivyopangiwa.

Idara ya Elimu sekondari wiilayani inaendelea kubaini upungufu wa walimu wa sayansi, na kuwasilisha mapendekezo ya mahitaji kwenye ngazi ya Mkoa kwa utekelezaji zaidi.

Matangazo

  • TANGAZO LA TATHMINI YA UJUZI NA UZOEFU KATIKA WILAYA YA NGARA KUTOKA TEMBO NICKEL August 30, 2022
  • MREJESHO WA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023 KWA KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO TAREHE 12 AGOSTI, 2022 September 23, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA NGARA December 04, 2022
  • RIPOTI YA ATHARI ZA KIMAZINGIRA NA KIJAMII MRADI WA MAEGESHO YA MAGARI BENAKO December 01, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • KONGAMANO LA MIAKA 62 YA UHURU WA TANZANIA BARA LAFANYIKA NA UCHANGIAJI DAMU WILAYANI NGARA.

    December 09, 2023
  • MATEMBEZI YA KILOMETA TANO IKIWA NI WIKI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA UHURU WA TANZANIA BARA YAKOINGOZWA NA MKURUGENZI MTENDAJI WILAYA NDG SOLOMON KIMILIKE AKIWA NA KAIMU KATIBU TAWALA WILAYA NDG JAWADU YUSUPH

    December 09, 2023
  • MKURUGENZI MTENDAJI WILAYA NDG SOLOMON KIMILIKE ALIONGOZA MATEMBEZI YA KILOMETA 5.

    December 08, 2023
  • MATEMBEZI YA KM 5 WIKI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA UHURU WA TANZANIA BARA YAFANYIKA WILAYANI NGARA- KAGERA.

    December 08, 2023
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa