• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Halmashauri Yakopesha Vikundi vya Akina Mama na Vijana

Wakati ilipowekwa: March 13th, 2018

Viongozi wa vikundi kumi (10) vya akina mama na vijana, vimeishukuru Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, kwa kuhidhinisha mkopo wa zaidi ya shilingi milioni kumi na tatu (13), kwa ajili ya kuongeza mitaji ya vikundi hivyo.

Akiongea kwa niaba ya viongozi wenzake Machi 12, 2018 katika ukumbi wa Halmashauri, baada ya kukabidhiwa hundi, Mwenyekiti wa kikundi cha Vijana Rusumo Club ndugu Deus Felician amesema; wanaishukuru serikali kwa kutambua uhitaji wao.

“Tunajishughulisha na kupanda miti ya kutunza mazingira, hivyo fedha hii itatusaidia kuongeza vitalu vya miche ya miti, ambayo tutainunua kwa ajili ya matumizi yetu na kuiuza kwa wananchi, ili tutunze mazingira.” Alisema Mwenyekiti Felician.

Aidha, amesema kwamba pamoja na mkopo waliopata; Halmashauri iliwapatia mafunzo ya ujasiliamali, aliyodai kuwa ya muhimu kwa maendeleo ya shughuli zao.

Naye Afisa Maendeleo ya Jamii wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Bi. Avelina Nicholaus Kabyazi, amesema fedha waliyopata si mali ya vikundi vilivyopata mkopo huo, bali vinawajibika kuirejesha ili vikundi vingine viwezze kunufaka.

“Wale viongozi muliopita umri wa kuwa katika kundi la vijana, tafadhali achieni madalaka kwa vijana, nawaomba mtumie uzoefu wenu mlioupata kuwalea vijana wenu, ili waendeleze vikundi vyenu.” Alisema Bi Kabyazi.

Amefafanua kuwa vikundi vilivyonufaika na mkopo huo ni kumi (10); vya akina mama vitano (05) na vya vijana ni vitano (05), na kuongeza kuwa vikundi vinane (08) vimepokea shilingi milioni moja na laki tano (1,500,000/=) kila kimoja, na viwili vimepokea shilingi laki nane elfu kumi na mia nane sitini na tano (810,865/=) kila kimoja.

Matangazo

  • TANGAZO LA TATHMINI YA UJUZI NA UZOEFU KATIKA WILAYA YA NGARA KUTOKA TEMBO NICKEL August 30, 2022
  • MREJESHO WA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023 KWA KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO TAREHE 12 AGOSTI, 2022 September 23, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA NGARA December 04, 2022
  • RIPOTI YA ATHARI ZA KIMAZINGIRA NA KIJAMII MRADI WA MAEGESHO YA MAGARI BENAKO December 01, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • KATA YA NTOBEYE WILAYANI NGARA YAADHIMISHA SIKU YA UKIMWI DUNIANI KWA KUFANYA BONANZA LA MICHEZO.

    December 03, 2023
  • WILAYA YA NGARA YAPEWA TUZO MAALUM, CHETI CHA PONGEZI KWA USIMAMIZI WA UJENZI WA SHULE KUPITIA MRADI WA SEQUIP.

    December 02, 2023
  • MAAZIMISHO YA SIKU 16 ZA KAMPENI YA KUPINGA UKATILI DHIDI YA WANAWAKE NA WATOTO NGARA MJINI SHULE YA MSINGI WILAYANI NGARA MKOA KAGERA.

    December 02, 2023
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI YAFANYIKA KIWILAYA KATA YA NYAKISASA WILAYANI NGARA MKOA WA KAGERA

    December 02, 2023
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa