• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Halmashauri Yapata Hati Safi kwa Miaka Mitano Iliyopita: RC Kagera

Wakati ilipowekwa: July 25th, 2018

“Kwa miaka mitano iliyopita Halmashauri ya Wilaya ya Ngara imepata Hati Safi ya ukaguzi kwa hesabu zilizoishia Juni 30, 2017; Halmashauri mnawajibika kuyalinda mafanikio haya, ili msirudi nyuma katika ukaguzi unaoendelea.” Aliagiza Mkuu wa Mkoa wa Kagera Meja General Mstaafu Salum Mustafa Kijuu.

Agizo hilo limetolewa na mkuu huyo wa Mkoa wa Kagera Meja General Kijuu Julai 25, 2018, alipokuwa akihutubia Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Ngara katika ukumbi wa Halmashauri, kwa ajili ya kujadili taarifa ya mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali.

Ameagiza Baraza la Madiwani na Manejimenti kuhakikisha wanaondoa na kuepuka kasoro zilizojitokeza katika ukaguzi uliopita; huku akiongeza kuwa ukaguzi unaonyesha kwamba Halmashauri imepata ya mashaka katika mwaka 2014/2015.

Hivyo ametoa wito Halmashauri ihakikishe inaendeleza mwenendo mzuri wa utendaji kazi; huku wakiepuka utendaji kazi wa mazoea usiozingatia taratibu, ili kuepuka hoja zisizo za lazima.

“Ninaagiza Baraza la Madiwani, kuchukua hatua zinazostahili kwa watumishi na wadau wa Halmashauri, waliosababisha kuwa na Hoja za miaka ya nyuma, ambazo majibu yake hayakumridhisha Mkaguzi.” Alisema Meja General Kijuu.

Amesema kwamba maagizo hayo yanafuatia kuwepo kwa hoja za muda mrefu, zinazoashirikia kuwepo kwa baadhi ya watendaji wa Halmashauri ambao hakutimiza wajibu wao kikamilifu.

Baadhi ya hoja za miaka ya nyuma ambazo hazijatekelezwa; amezitaja kuwa ni pamoja na mawakala kutowasilisha mapato yenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni 30, ya mwaka wa fedha wa 2012/2013, na shilingi milioni 3,000,000/= za mwaka 2013/2014.

Aidha, amewataka waheshimiwa madiwani wahimize utelezaji wa miradi ya maendeleo, ikiwa ni pamoja na kuhamasisha wananchi wachangie kikamilifu katika kukamilisha miradi ya maendeleo, iliyoanzishwa na wananchi wenyewe.

Mh. Mgata kwa niaba ya Baraza la waheshimiwa Madiwani wamemshukuru Mkuu huyo wa Mkoa wa Kagera na kuahidi kuyateleza maagizo hayo aliyowapa na kwamba atarajie Hati Safi kwa mwaka wa fedha wa 2017/2018.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa