• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Halmashauri Yapokea Zaidi ya Shilingi bilioni 23.3 Yatumia Zaidi ya Shilingi Bilioni 23.2

Wakati ilipowekwa: May 19th, 2018

Halmashauri ya Wilaya ya Ngara hadi kufikia Machi 31, 2018, ilipokea shilingi bilioni 23,343,040,898.46, na kutumia shilingi bilioni 23,286,911,246.00/=, kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo robo ya tatu 2017/2018.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Aidan John Bahama, amesema haya wakati wa Baraza la waheshimiwa Madiwani Mei 15, 2018, katika ukumbi wa Halmashauri.

Ndugu Bahama amefafanua kuwa katika kipindi cha 2017/2018, Halmashauri yake iliidhinishiwa na serikali kuu jumla ya shilingi 44,055,604,713.00; ambapo shilingi 28,615,809.00 zilitengwa kwa ajili ya kulipa mishahara ya watumishi.

“Tulitengewa kiasi cha shilingi 1,165,473,000.00 kwa ajili ya matumizi mengineyo, shilingi 1,782,480,44.00 ziliidhinishwa kama mapato yatakayotokana na vyanzo vya Halmashauri, ambapo shilingi 12,492,185,457.00, ilitengwa kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo kutoka serikali kuu.” Alisema Mkurugenzi Mtendaji.

Tangu Julai 2017 hadi Machi 31, 2018 Halmashauri ilipokea jumla ya shilingi 23,343,040,898.46, ambapo mchanganua wa fedha iliyopokelewa ameutaja kuwa shilingi 912,158,832.05, ilikusanywa kutoka katika vyanzo vya Halmashauri.

Jumla ya shilingi 17,087,159,760/= ilipokeliwa kutoka serikali kuu, kwa ajili ya kulipa mishahara ya watumishi, ambapo kiasi cha shilingi 703,720,000/= kilipokelewa toka seririkali kuu, kwa ajili ya matumizi mengineyo, pamoja na shilingi 4,640,002,306.45, kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.

Aidha, Halmashauri imetumia zaidi ya shilingi bilioni 23.2 kwajili ya kulipa mishahara ya watumishi, kutekeleza miradi ya maendeleo katika sekta za afya, elimu na maji, pamoja na matumizi mengineyo.

Amesema kwamba Halmashauri yake imefikia wastani wa 35% ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika sekta mbalimbali, na kwamba tangu Julai 2017 hadi Machi 31, 2018 Halmashauri yake, imetumia zaidi ya shilingi bilioni 4.6; fedha za Mfuko wa Maedeleo ya Jamii (TASAF III), HSBF, Mfuko wa Jimbo, ICAP/MHD na mfuko wa maji, kwa ajili ya kutekeleza miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa