• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

KIKAO CHA KWANZA CHA BARAZA LA MADIWANI, CHAFANYIKA NA MWENYEKITI ACHAGULIWA WILIBARD BAMBARA

Wakati ilipowekwa: December 2nd, 2025

Mkutano wa  Kwanza wa Baraza la Madiwani Wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara umefanyika katika ukumbi mpya wa Halmashauri ya wilaya ulipo  makao makuu Ngara mjini

Ambapo Mbunge Wa Jimbo la Ngara Mhe Doto Bahemu ameshiriki kikao cha Kwanza cha Baraza la Madiwani Wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara kilichotanguliwana mchakato Wa kumpata Mwenyekiti Wa Halmashauri na Makamu wake ambapo ameungana na Madiwani wenzake kupiga Kura na Kumchagua Mwenyekiti Wa Halmashauri na Makamu wake. Uchaguzi huo umesimamiwa na Katibu Tawala Wilaya Bi Hatujuani Ally  Lukari ambaye amewatangaza  Mhe Wilbard Bambara  kuwa Mwenyekiti Wa Halmashauri na Mhe Theofilda  William kuwa Makamu Wa Mwenyekiti Baada ya Kura kuhesabiwa.

Naye Mhe  Doto Bahemu Mbunge  amewapongeza Sana Madiwani kwa kuaminiwa kwa Kishindo na wananchi katika Kata zao na kuwasisitiza kuhakikisha wanakuwa sehemu ya Kutoa majawabu katika changamoto zinazowakabili wananchi huku wakikumbuka kila wakati kuwa Maendeleo ya Wilaya ya Ngara na wananchi wake yako mikononi mwao na yeye kama Mbunge akaahidi Kutoa ushirikiano Wa Hali na Mali Kwao na kushirikiana nao bega kwa bega na Madiwani pamoja na Baraza ili kuhakikisha Maendeleo yanapatikana, changamoto za wananchi zinatatuliwa kwa wakati sambamba na Kuimarisha ustawi Wa Jimbo la Ngara

Mgeni rasmi katika katika mkutano huo alikuwa Mhe Col. Mathias Julius Kahabi Mkuu wa Wlaya ya Ngara ambapo alisisitiza

Waheshimiwa Madiwani na viongozi kuwasikiliza matakwa ya wananchi  vijana wanawake na wazee na kutatua changamoto zao pia udhibiti wa magendo mipakani 

Kazi na utu tunasonga mbele

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • KIKAO CHA KWANZA CHA BARAZA LA MADIWANI, CHAFANYIKA NA MWENYEKITI ACHAGULIWA WILIBARD BAMBARA

    December 02, 2025
  • MAADHIMISHO YA SIKU YA UKIMWI DUNIANI YAFANYIKA KIWILAYA KATA YA KASULO

    December 01, 2025
  • DKT. MWIGULU: TANZANIA NI MALI YETU SOTE, SI MALI YA SERIKALI WALA CHAMA CHA SIASA

    November 26, 2025
  • NDG. SOLOMON KIMILIKE DED-NGARA ASHIRIKI KUPIGA KURA UCHAGUZI MKUU 2025 NA KUHAMASISHA WANANCHI.

    October 29, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa