• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

KIKAO CHA TATHMINI YA UTEKELEZAJI WA MKATABA WA USIMAMIZI WA AFUA ZA LISHE ROBO YA PILI WILAYA YA NGARA

Wakati ilipowekwa: March 28th, 2025

NGARA UPDATES

28/03/2025

Kimefanyika kikao kazi cha tathmini ya utekelezaji wa Mkataba wa usimamizi wa Afua za Lishe  robo ya Pili 2024/2025. Kikao kilichoongozwa na Mhe Col Mathias Julius Kahabi  DC Ngara ambaye alikuwa Mkiti na Bw Josephat Sangatati Kaimu Ded aliyekuwa katibu pamoja na Bw JawaduYusuph Kaimu Das

Kikao hicho kimehudhuriwa na Bi Vivian Maruhe  kaimu Mkuu  wa Idara ya utawala na usimamizi wa Raslimali watu , Emmanuel Msokwa Afisa lishe Wilaya,  Maafisa Elimu Msingi na Sekondari pia Maafisa watendaji wa kata zote 22.

Akifungua kikao hicho Mhe  Col Mathias J Kahabi - Dc  Ngara aliwaagiza Maafisa watendaji wa kata kusimamia ipasavyo suala la lishe hasa kwa wanafunzi shule za Msingi na Sekondari alisisitiza wanafunzi wapate chakula shuleni ili waweze kufanya vizuri pia kwenye mitihani yao ya Mwisho kwa shule za Msingi na Sekondari .

Aidha Mhe Col Kahabi waliwataja Maafisa watendaji kata wanaofanya vizuri katika uchangiaji wa chakula Shuleni ambao ni Maafisa watendaji kata za Kirushya, Mugoma, kanazi, Rulenge na kabanga. Mhe Col kahabi alitoa nafasi kwa watendaji hao ili kutoa  uzoefu jinsi walivyofanya vizuri na kufanikiwa katika kata zao.

Baada ya Mawasilisho ya kata hizo ilisisitizwa kata ziige mfano wa kata zilizofanya vizuri kwa kutoa chakula shuleni.

Mhe Col Mathias J Kahabi katika Picha ya pamoja na Bw Josephat Sangatati kaimu Ded ,Bw Jawadu Yusuph Kaimu Das na Maafisa watendaji kata za Rulenge. kabanga,kanazi ,mugoma na Kirusha


Maafisa watendaji katika kikao kazi cha tathmini ya mkataba wa usimamizi wa afua za lishe.




Afisa Lishe Bw Emmanuel Msoka na mwandishi wa vikao Halnashauri Bw Ally wakiwa kwenye kikao kazi


Ngara kazi inaendelea 

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa