- Mwanzo
- Kuhusu sisi
- Utawala
- Fursa za uwekezaji
- Huduma zetu
- Madiwani
- Miradi
- Machapisho
- Kituo cha Habari
NGARA UPDATES
30/01/2026
Kimefanyika kikao kazi kilichoshirikisha viongozi mbalimbali wa Halmashauri ya Wilaya ambao ni Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi wa Rasilimali watu Bi Jenifer Mapembe, Mkuu wa idara ya Elimu Awali na Msingi Mwl. James Ling’hwa, Kaimu Mkuu wa Idara ya Mipango Bi Jasmini Abas Kaimu Mkuu wa kitengo cha Fedha na uhasibu Ndg Israel Bashange na Mkuu wa Kitengo cha Manunuzi Bw. Jacob Sona ili kutoa maelekezo mbalimbali kwa Watendaji wa Vijiji .
Maelekezo hayo ni:
1) Namna ya kujaza na kusimamia Rejester ya makazi kwa ngazi ya kitongoji
2) Masuala mbalimbali ya Kiutumishi ikiwemo kuzingatia Sheria, Kanuni na taratibu za Utumishi wa Umma.
3) Utaratibu wa Usimamizi wa Miradi ya Maendeleo kwa ngazi ya Kijiji
4) Utaratibu wa matumizi na michakato wa Mifumo ya manunuzi ikiwemo mfumo wa NEST
5) Ukusanyaji wa mapato na Usimamizi wa Fedha kwa ngazi za vijiji
6)Masuala mbalimbali yanayohusu Elimu katika ngazi za Vijiji

Ngara kazi inaendelea
www.ngaradc.go.tz
Ngara District Council
Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara
Simu ya mezani: 0282226016
Simu ya mkononi:
Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz
Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa