• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Kuanza kwa mtihani wa mwisho wa kumaliza elimu ya msingi.

Wakati ilipowekwa: September 6th, 2017

Wanafunzi wa darasa la saba wameungana na wanafunzi wengine wa darasa la saba nchi nzima kufannya mtihani wao wa mwisho wa Taifa wa kumaliza elimu ya msingi. Mtihani huo ambao ni wa siku mbili umeanza leo tarehe 6 Septemba kwa masomo ya English, Hisabati na Kiswahili na utamalizika kesho tarehe 7 Septemba kwa masomo ya Maarifa na Kiswahili.

Akiongelea jinsi zoezi la mtihani linavoendelea, Mkurugenzi Mtendaji wa wilaya Ndg Aidan John Bahama amesema jumla ya wanafunzi 4826 ndio waliosajiriwa kufanya mtihani huo likiwa ni ongezeko la wanafunzi 1185 kwa mwaka jana pia amesema tathmini ya wanafunzi ambao hawatafanya mtihani itatolewa mwishoni mwa zoezi zima. Watahiniwa hawa wanasimamiwa na walimu 482 waliopewa dhamana ya kuhakikisha hakuna udanganyifu katika mtihani huo.

Akizungumzia maoteo, Mkurugenzi mtendaji amesema kuwa kulingana na jinsi walimu walivyowaandaa wanafunzi hawa, wilaya inategemea kufikia ufaulu wa 89%.

Kwa maoteo hayo Mkurugenzi anawataka wazazi kuwaandaa watoto wao kisaikolojia ili wasirubuniwe kuolewa au kupata mimba hasa kwa watoto wa kike, kutoroshwa kwenda kufanya kazi za vibarua ama za ndani na mwishowe kukosa fursa ya kuendelea na masomo ya sekondari na hapa amewakumbusha wazazi kuwa elimu ya sekondari za serikali ni bure, cha msingi wajiandae kwa ajili ya matumizi madogo madogo ya watoto wao.

Aidha Mkurugenzi amesisitiza kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa wazazi ambao watoto wao watafaulu na wasipelekwe kujiunga na masomo ya sekondari.

 Awali, Afisa Elimu Shule za msingi Ndg Gideon Mwesiga amewaasa wahitimu kuendelea kuwa watulivu huko waendako kama walivoonesha katika kipindi hiki cha mtihani wao wa mwisho.

Matangazo

  • TANGAZO LA TATHMINI YA UJUZI NA UZOEFU KATIKA WILAYA YA NGARA KUTOKA TEMBO NICKEL August 30, 2022
  • MREJESHO WA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023 KWA KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO TAREHE 12 AGOSTI, 2022 September 23, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA NGARA December 04, 2022
  • RIPOTI YA ATHARI ZA KIMAZINGIRA NA KIJAMII MRADI WA MAEGESHO YA MAGARI BENAKO December 01, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA FAMERS YATOA KATONI ZA BISCUIT.

    December 07, 2023
  • NGARA OIL YATOA KATONI ZA MAJI NA JUICE KWA AJILI YA MAADHIMISHO YA UHURU WA TANZANIA BARA KIWILAYA.

    December 06, 2023
  • CHAMA CHA WALIMU WILAYA YA NGARA CHATOA KATONI ZA MAJI NA JUICE KWA AJILI YA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU KI-WILAYA.

    December 06, 2023
  • RATIBA YA MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA UHURU WA TANZANIA BARA WILAYANI NGARA KUANZIA TAREHE 04/12/2023 HADI 11/12/2023

    December 13, 2023
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa