• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Lipeni Mapato ya Serikali kwa Kudai Risti Mnunuapo Bidhaa; Brigedia Jenerali Gaguti

Wakati ilipowekwa: September 20th, 2018

Wananchi katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara wamewatakiwa kulipa kodi kwa kudai risti pindi wanunuapo bidhaa, ili serikali ipata fedha ya kutoa huduma iliyotukuka kwa wananchi hao.

Rai hiyo aliitoa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia Jenerali Marco Elisha Gaguti Agosti 03, 2018, kwa Viongozi na wananchi wa Wilaya ya Ngara, kwamba kama wananchi hawatatimiza wajibu wao kwa kulipa kodi huduma haitapatikana.

“Nitoe rai ya kuripa kodi, ninafahamu wilaya ina vituo viwili vilivyopewa milioni 400 kila kimoja, serikali inajenga meli mpya na kukarabati mbili za zamani, zenye thamani ya shilingi bilioni 152, fedha zote zinatokana na kodi ya wananchi.” Alisema Brigedia Jenerali Gaguti.

Ili kufanikisha azma ya serikali ya kuwaletea wananchi maendeleo; TRA katika mkoa huu, wakusanye mapato ya serikali kwa kuhakikisha wafanyabiashara wanatumia mashine, ili waweze kulipa kodi kadiri wanavyouza.

Amewataka viongozi na watumishi wote kuwa msatari wa mbele kudai risti wanaponunua bidhaa, ili kodi inayokusanywa iweze kuisaidia serikali kutoa huduma iliyotukuka kwa wananchi wake.

Haikubaliki wananchi wadai huduma wanazohitaji katika hospitali, barabara, shuleni, na watumishi wadai kuongezwe mishahara kwa asilimia 100, wakati wanaponunua bidhaa wanaacha fedha ya serikali kwa kutodai risti.

Akitoa mfano, aliwataka viongozi kuwashawishi wananchi wadai risti, ili kodi ya serikali iende katika mlolongo ulio sahihi, na hatimaye wananchi waweze kupata maendeleo kupitia mkondo unaoeleweka na ulio sahihi.

“Mimi binafsi ni muumini mzuri wa kudai risti, ninawaomba wananchi wenzangu mliopo hapa tuwe na msukumo katika suala la kudai risti, ili tuwasukume wafanyabiashara watoe risti; tunapoteza mapato ya serikali kizembe, kwa kweli haikubaliki.” Alisema Brigedia Jenerali Gaguti.

Wwakati huo huo, wafanyabiashara walimuomba Mkuu Mkoa kuwasaidia katika masuala ya malipo ya kodi, kwa madai kwamba TRA wanawanyanyasa kwa kuwatoza kodi nyingi, ambazo zinawakwamisha katika shughuli zao.

Brigedia Jenerali Gaguti amewaahidi kwamba akimaliza ziara yake mkoani Kagera atakutana na uongozi wa TRA mkoa, ili waweke mikakati mahsusi katika suala zima la ukusanyaji wa mapato ya serikali.

Amesema yeye pamoja na uongozi wa TRA kutoka kila wilaya katika Mkoa wa Kagera, watatafuta mbenu za kuweka mazingira mazuri kwa wafanyabiashara; huku wakiwaondolea vikwazo visivyokuwa vya lazima katika kulipa kodi ya serikali.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa