• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

MAADHIMISHO YA MIAKA 63 YA UHURU WA TANZANIA BARA YAFANYIKA KWA KUPANDA MITI NA ZOEZI LA USAFI WA MAZINGIRA WILAYANI NGARA

Wakati ilipowekwa: December 9th, 2024

NGARA HABARI

 9/12/2024

Yamefanyika Maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru kiwilaya Chuo cha Lemela  kata ya Kanazi Wilayani Ngara.

Maadhimisho hayo yameshirikisha viongozi mbalimbali  wa wilaya  ambao ni Mkurugenzi Mtendaji wilaya Ndg Solomon Kimilike, katibu Tawala wilaya Bi Hatujuani Ally Lukari, kamati ya usalama wilaya, Wakuu wa idara na vitengo, watumishi, Wanachuo na Wananchi.

Mgeni rasmi katika Maadhimisho hayo alikuwa Mhe Col Mathias Julius Kahabi Mkuu wa Wilaya Ngara.

Kauli Mbiu ikiwa :Miaka  63 ya Uhuru wa Tanzania Bara " UONGOZI MADHUBUTI NA USHIRIKISHWAJI WA WANANCHI NI MSINGI WA MAENDELEO YETU" 

 Mhe Col Kahabi alieleza   mambo mbalimbali  kwa kulinganisha kipindi cha uhuru na sasa kupitia sekta mbalimbali za Elimu, Afya, Barabaram Maji na Umeme.  Mwisho Col Kahabi alimpongeza Dr Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuleta miradi mbalimbali katika wilaya ya Ngara.

Baada ya kumaliza Mhe Col Kahabi aliongoza zoezi la upandaji miti katika chuo cha maendeleo ya wananchi Lemela Ngara

Walifuata Ndg Solomon kimilike Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya, Bi Hatujuani Ally Likari Katibu Tawala Wilaya, Kamati ya Usalama Wilaya,Wakuu wa idara na vitengo , watumishi, wanachuo, na wananchi.

Adha  pia lilifanyika zoezi la kufanya kufanya usafi wa mazingira kwa viongozi Mbalimbali na wananchi kushiriki zoezi la Usafi.

Mhe Col Mathias J Kahabi Mkuu wa wilaya Ngara akiongoza zoezi la upandaji miti chuo cha maendeleo ya wananchi Lemela kata ya kanazi wilayani Ngara.


Col Kahabi mkuu wa wilaya Akipanda Mti.


Ndg Solomon O kimilike Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya  Ngara akipanda Mti.


Bi Hatujuan A Lukari Katibu Tawala wilaya akipanda Mti.



Kamanda wa TAKUKURU Wilaya Ndg Ally Mikidadi akipanda Miti.


Col Mathias Kahabi Mkuu wa wilaya Akiongoza zoezi la usafi akiwa na Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya Ndg Solomon Kimilike katika maadhimisho ya miaka 63 ya uhuru wa Tanzania Bara.

 www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa