• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA MUUNGANO ZAFANYIKA WILAYA YA NGARA

Wakati ilipowekwa: April 26th, 2025

NGARA UPDATES

 26/04/2025

Yamefanyika maadhimisho ya Sherehe za Muungano kiwilaya Ngara Mjini. Maadhimisho hayo yamefanyika kwa kufanya kongamano, kupitia vyombo vya habari kuwahoji wazee maarufu,uandishi wa insha kwa shule za sekondari. Kufanya jogging na mazoezi ya pamoja, michezo ya asili kuvuta kamba ,Kufanya usafi hospital  ya Nyamiaga na kupanda miti.

Mgeni Rasmi alikuwa Mhe Col.Mathias Julius Kahabi Mkuu wa Wilaya ya Ngara pia walishiriki Ndg Solomon kimilike Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri  ya wilaya. Bi Hatujuani Ally Lukali katibu Tawala wilaya. Kamati ya usalama, wataalamu wa Halmashauri,Taasisi mbalimbali na wana nchi walijitokeza. 

Kauli mbiu "MUUNGANO WETU NI DHAMANA,HESHIMA NA TUNU YA TAIFA: SHIRIKI  UCHAGUZI MKUU MWAKA 2025"


MHE. COL. MATHIAS J. KAHABI AKIPANDA MTI  KATIKA MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA MUUNGANO  KIWILAYA


Viongozi mbalimbali washiriki  Maadhimisho ya Sherehe za Muungano kiwilaya


Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya Ndg Solomon kimilike Akipanda mti ikiwa ni  kumbukumbuya  sherehe  Maadhimisho ya  Muungano kiwilaya


Katibu Tawala wilaya Bi Hatujuan Ally Lukali akipanda Mti


Viongozi Mbalimbali walijitokeza katika Maadhimisho ya sherehe ya Muungano kiwilaya kwa kufanya shughuli mbalimbali.


Mhe Terri Sophy Tesha Hakimu  Wilaya ya Ngara akipanda mti ilikuwa ni kumbukumbu maadhimisho ya sherehe ya Muungano






Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya Ndg Solomon Kimilike akiwa na Katibu Tawala wilaya Bi Hatujuani A Lukali  katika matembezi baada ya Jogging na mazoezi ya pamoja


Kazi inaendelea Ngara

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • KIKAO CHA KAMATI YA FEDHA UTAWALA NA MIPANGO CHAFANYIKA

    May 21, 2025
  • MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA IMEFANYIKA WILAYA YA NGARA

    May 20, 2025
  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa