• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Makisio Yetu Hayakwendana na Kiasi cha Kahawa Iliyozalishwa

Wakati ilipowekwa: September 8th, 2018

“Tulikadiria kununua tani 500 za kahawa aina ya Alabaika, lakini tumekwishanunua tani zaidi ya 900, huku wakulima bado wana kahawa nyingi majumbani, na tunatarajia kukusanya zaidi ya tani 1000 msimu wa 2017/2018.” Alisema Meneja wa Ngara Farmers Corporative Ndugu Amphrey Katakweba.

Ndugu Katakweba aliyasema hayo wakati akiwakirisha mada Septemba 07, 2018, katika kikao cha Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ngara, kilichofanyika katika ukumbi wa Halmashauri, kujadili utekelezaji wa Ilani ya Chama hicho Januari - Juni 2018.

Amesema mwanzoni walifanya maksio ya chini, hivyo walipata fedha kidogo za kukusanyia kahawa hiyo, ikilinganishwa na hali halisi ya kahawa ya Alabika, waliyozalisha wakulima katika msimu wa huu.

Alisema chama hicho kimepokea shilingi milioni 600 kwa ajili ya kuendelea kukusanya kahawa; huku akisistiza kuwa uenda na hiyo fedha isitoshe kukusanya kahawa yote ya wakulima, kwani bado kahawa ni nyingi vituoni.

Amekiri kuwa kahawa ya mkoa wa Kagera hasa ile ya wilayani Ngara, ina ubora mzuri sana kwa kuwaaarika wajumbe wa kikao hicho kwenda gharani kujionea; huku akiwaomba kumsaidia kutatua changamoto ya upungufu wa maghara ya kutunzia kahawa inayokusanywa.

“Waheshimiwa wajumbe nina wasiwasi wa ghara la kutunzia kahawa tunayokusanya, kwani sehemu tunayotunzia kahawa yetu imejaa, na bado tunaendelea kukusanya nyingine; wakati huo huo, mvua zinaanza kunyesha.” Alisema Katakweba.

Aidha, amekiambia kikao hicho kwamba mfumo wa umeme ni mdogo ukilinganishwa na ukubwa au uwezo wa mashine za kukobolea kahawa, kwa hiyo, wanafanyakazi kidogo ikilinganishwa na mzigo wanaokusanya.

Amesema chama chake cha ushirika kimepoteza mapato, kwa kushindwa kukusanya kahawa katika kipindi cha miaka minane iliyopita, huku akiwataka wajumbe hao kukisaidia chama hicho, kutatua kero za wananchi, zilizomo katika uwezo wao.

Pamoja na maelezo hayo wajumbe walitaka kujua iwapo wakulima ambao hawakurejeshewa magunia yao baada ya kuuza kahawa; Meneja huyo aliwahakikishia wajumbe hao kuwa kwa sasa chama akina gunia, lakini zikifika watarejeshewa.

Amewataka wajumbe kumsaidia kuwaelimisha wakulima ambao si waaminifu, kwa madai kwamba baadhi ya wakulima wanaweka maparachichi, mawe na hata wengine wanaleta kahawa ambayo ni chafu sana.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa