• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

Wakati ilipowekwa: May 2nd, 2025

NGARA UPDATES

02/05/2025

Mhe Hajjat Fatma Abubakari Mwassa Mkuu wa Mkoa wa Kagera  amefanya ziara ya kukagua Miradi ya Maendeleo  katika wilaya ya Ngara.

Mhe Mwassa ameambatana na Katibu Tawala Mkoa Ndg Stivin  Ndaki Mashauri  , Viongozi mbalimbali Ngazi ya Mkoa , Mkuu Wilaya  Mhe.Col Mathias kahabi , Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya  Ndg Solomon Kimilike , kamati ya usalama Wilaya na Wataalam wa Halmashauri .

Miradi aliyotembelea na kukagua ni 

  1. Ujenzi wa Barabara km 1 , uzio ,ufungaji wa  mifumo ya maji na ujenzi wa Ngazi ulalo (Ramps) ambao utagharimu  Tshs  851,525,987.40
  2. Ujenzi  wa Soko la kimkakati  linalojengwa kwa gharama ya tsh  Bilion 2,517,833,024 kahaza  Rusumo umefikia 95.3%
  3. Ujenzi wa Shule Mpya ya Sekondari ya Amali wenye gharama Tshs Bilioni 1,600,000,000 kata ya Rusumo ambapo ujenzi umefikia 98%
  4. Mradi wa Maji  wenye gharama  ya Tshs 389,926486.50 kumuyange Nyamiaga
  5. Ujenzi wa Jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya  lenye ofisi 70 na kumbi 2 Tshs 3,599,127,670.69, ikiwa uzio Tsh 504,187,452,95 na Samani Tsh 419,717,777.65 na kuwa Jumla ya gharama Tshs 4,521,032,901.29
  6. Ujenzi wa Ukumbi wa Kisasa Ngara Garden  awamu ya 1 Tshs 300,000,000/=

Aidha Mhe Hajat Fatma Abubakari Mwassa  amemshukuru na kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassani kwa kutoa fedha za miradi ya Maendeleo Mkoa wa kagera.

Kituo cha Afya Rusumo alipotembelea kuona ujenzi wa uzio, Barabara


Soko la kimkakati Kahaza Kata ya Rusumo


Mkuu wa Mkoa wa Kagera Hajat Fatma Mwassa alipotembelea  mradi wa ujenzi wa soko la kimkakati Kahaza kata Ya Rusumo


Shule ya  Sekondari Amali  alipotembelea Mkuu wa Mkoa Mhe Hajat Fatma Mwassa


Mhe Hajat Fatma Mwassa Mkuu wa Mkoa wa  kagera akiwa na Katibu Tawala Mkoa Ndg S.Mashauri Ndaki  , Mkuu wa wilaya ya Ngara  Col Mathias Kahabi, Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya Ndg Solomon kimilike na kaimu Afisa Elimu Sekondari  Mwl zacharia Mkumbo wakiwa Shule ya Sekondari Amali.



KatibuTawala Mkoa akipanda kuangalia tanki la Maji Kumuyange Nyamiaga



Eng  Simon Ndyamukama meneja RUWASA akiwa na Katibu Tawala Mkoa wa kagera  S. Mashauri Ndaki


Jengo la utawala   Halmashauri Makao Makuu


Mhe Hajat Fatma Mwassa akielekea Jengo la Utawala  akiwa na Katibu Tawala Mkoa na Mkuu wa wilaya Col Mathias Kahabi


Mkuu wa Idara ya Utawala na usimamizi Rasilimali watu Bi Jenifer Mapembe kwa niaba ya Mkururugenzi Mtendaji wilaya Ndg Solomon Kimilike akiwasilisha taarifa ya jengo la utawala



Mhe Hajat Fatma Abubakari Mwassa Mkuu wa Mkoa wa Kagera alipotembelea na kukagua ujenzi wa Ukumbi Mkubwa wa kisasa  Ngara Garden

Ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa