• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

M/KITI WA CCM WILAYA COMRED VITALIS NDAILAGIJE AENDELEA NA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO AKIIONGOZA KAMATI YA SIASA WILAYA

Wakati ilipowekwa: May 15th, 2025

 NGARA UPDATES

15/ 05/2025

 Mhe Comred Vitaris Ndailagije Mkiti wa CCM Wilaya ameiongoza kamati ya Siasa Wilaya kutembelea Miradi ya Maendeleo ziara iliyoanza tarehe 14/5/2025 kwa Tarafa ya Nyamiaga .

Aidha katika ziara  hiyo  imeshirikisha Mhe  Col. Mathias Kahabi DC, Ndg Constantine Msemwa  Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Wilaya, Meneja TARURA, Meneja RUWASA na  Wataalam.

Ziara hiyo imeendelea kwa Tarafa za Kanazi na Rulenge Miradi Iliyotembelewa na kukaguliwa ni

  1. Ujenzi wa Maabara  kituo cha Afya Kanazi ambapo kiasi cha Tsh Milion 10,000,000 kutoka mfuko wa Jimbo na Tsh Milion 3.4 Nguvu za Wananchi  ujenzi unaendelea.
  2. Ukamilishaji wa. Ujenzi wa Soko mkakati Kabanga wenye gharama ya Tsh Bilion 1.2
  3. Ujenzi wa Daraja la kumwendo litakalogharimu Tsh Milion 730.000.000/=
  4. Mradi wa  Majengo ya Utawala, Mionzi na Jengo la kufulia wenye thamani ya  Tsh Milioni 800,000,000/=
  5. Mradi wa ujenzi wa Chuo  VETA  Rulenge utakaoghalimu Tsh Bilion 3.6  fedha iliyotumika Tsh  Milioni 451
  6. Ujenzi wa shule ya sekondari Mpya Mumurama kata ya Bukiriro wenye thamani ya tsh 584,280,029
  7. Ujenzi Wa Mabweni Mawili ya Wasichana Shule ya Sekondari Muyenzi yenye thamani ya tsh Milioni 260

Aidha  Mhe Comred Vitaris Ndailagije Mkiti wa CCM Wilaya amempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa kutoa fedha za  miradi mbalimbali  ya maendekeo wilaya ya Ngara.

Ziara ya kutembelea miradi inaendelea kwa Tarafa  rulenge na Mursagamba.

Kamati ya Siasa Wilaya ilipotembelea Mradi wa ujenzi wa Mabweni mawili shule ya Sekondari Muyenzi


Mkiti wa CCM Wilaya Mhe Comred Vitaris Ndailagije akiwa na kamati ya Siasa shule ya Sekondari Mumurama  kata ya Bukiriro


Shule ya sekondari Mumurama  kata ya Bukiriro


Mhe comred Vitaris Ndailagije  mkiti CCM akiwa na Col Mathias J. kahabi Dc Shule ya Sekondari Mumurama


Kamati ya Siasa Wilaya Wakiwa Chuo cha VETA Kinachojengwa Rulenge


Katibu wa wazazi wilaya akijenga chuo cha VETA Rulenge



Ujenzi wa Chuo cha VETA


Mkiti wa CCM Wilaya Comred Vitaris Ndailagije akiwa na Mhe Col Mathias J kahabi DC  jengo la Mionzi   Hospitali ya Wilaya  Mbuba


Kamati ya siasa wilaya wakiangalia vifaa chumba cha upasuaji katika Hospital ya wilaya iliyopo Mbuba


Mkiti wa CCM Wilaya Comred Vitaris Ndailagije akiwa angalia vifaa vya upasuaji   Hospitali ya Wilaya Mbuba


Kamati ya siasa wakiangalia vifaa vitanda vya kulaza wagonjwa vipya



Katibu wa CCM  Wilaya BI Mariam Amir akiwa katika picha ya pamoja na Mafundi wanaojenga Daraja la Kumwendo kata ya Mbuba


Kamati ya siasa ikiongozwa na Mkiti wa CCM Wilaya wakiwa katika Daraja linalojengwa Kumwendo




Mhe Wilbard Bambara  Mkiti wa H/ Wilaya Akikagua Daraja la Kumwendo


Mkiti wa Wazazi Comred  Chrispine Kamugisha na katibu wa ccm  Bi Nariam wakiwa linapojengwa soko la mkakati Nzaza kabanga


Mkiti wa CCM  wilaya Comred Vitaris Ndailagije  akiwa na kamati ya Siasa Wilaya  soko mkakati  Nzaza kabanga


Kamati ya siasa wakiwa  inapojengwa Maabara kituo cha afya Kanazi


Picha ya kamati ya Siasa na wananchi walijitokeza kata ya kanazi ambapo mhe COMRED VITALIS NDAILAGIJE aliongea na wananchi hao.



Ngara kazi inaendelea

www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa