• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Mkulima wa Kahawa Mwaka 2018 Anavuna na Kuuza Mwenyewe; Ndugu Bahama

Wakati ilipowekwa: August 2nd, 2018

“Jamani mkulima wa kahawa mwaka 2018 anauza mwenyewe na kama kuna mkulima aliigia mkataba na mfanyabiashara basi makataba huo ni batiri.” Alisema Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Aidan John Bahama. 

Ndugu Bahama aliyasema hayo Julai 31, 2018 kwa wakati tofauti alipokuwa ziarani, kufuatilia wafanyabiashara, wanaonunua mashamba ya kahawa ya wakulima Wilayani humo.

Amewaambia wakulima wasisubutu kuuza au kununua kahawa kinuyume na utaratibu wa serikali, kwani kufanya hivyo kutawatia hatiani na kwamba ndani ya gari lake ana wafanyabiashara wawili waliokiuka agizo hilo anawapeleka polisi.

Amesema wanatakiwa kuwa waaminifu kwa serikali na kwamba wakisikia kuna mtu ananunua kahawa kwa wakulima wamwambie mtendaji, na kama hawakupata msaada wampigie simu Mkurugenz mwenyewe.

Aidha, amewahakikishia kwamba chama cha Ushirika cha Ngara Farmers Cooporative, kitaanza kununua kahawa msimu huu siku ya Jumatatu ya Agosti 06, 2018, na kwamba wameamua kunua kahawa mapema, kwa sababu kahawa ikikaa muda mrefu inapugua thamani yake.

Mkurugenzi huyo amevunja mikataba kati ya wakulima na wafanyabiashara, na akasisitiza kwamba kila aliyemuuzia shamba la kahawa mfanyabiashara; shamba hilo na kahawa yote ni mali ya mkulima.

“Kila mkulima atakayeuza kahawa atapewa fedha yake siku hiyo hiyo, na kwamba wakulima hao wanahiari ya kupitishia fedha yao benki au kupata fedha yao moja kwa moja.” Alisema Ndugu Bahama.

Serikali ina mkono mrefu mtu asje akauza au kununua kahawa akafikiri kwamba hatajua ndiyo maana wale wote waliojihusisha na mpango huo haramu nimewakamata na kahawa walionunua itakuwa mali ya serikali.

Naye mwenyekiti wa Kijiji cha Mwivuza alimshukuru sana mkurugenzi huyo, na kumuahidi kumpa ushirikiano, ili wakulima wanufaike na jasho lao kwani wamenyonwa muda mrefu.

Ndugu William Wellington alinukuliwa akisema kwamba tangu mwaka 1978, hajwahi kuanika kahawa nyumbani kwake, ingawa ana mashamba makubwa, bali kazi yake ilikuwa ni kuwatunzia matajiri.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa