• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

MKUU WA IDARA YA UTAWALA ,USIMAMIZI NA RASLIMALI WATU AFANYA KIKAO KAZI NA WATUMISHI WA HOSPITAL TEULE YA MURGWANZA WILAYANI NGARA

Wakati ilipowekwa: March 5th, 2025

NGARA UPDATES

05/03/2025

Mkuu wa Idara ya Utawala na Usimamizi na Raslimali watu Bi. Jenifer Mapembe alianza ziara tarehe 04/03/2025 kwa kutembelea Hospitali ya Nyamiaga   na kufanya kikao kazi na  watumishi wa Hospitali hiyo.

Leo Tarehe 05/3/2025 Mkuu huyo wa Idara akiongozana na Ndg Rutakinikwa Paschal - Afisa utumishi walipokelewa na Katibu wa Hospitali ya Murgwanza Ndg Andrew Nziko na kaimu Mganga Mkuu.

Lengo la kikao kazi ikiwa ni kukumbushana Majukumu ya kazi  na kujitambulisha , kufahamiana baada ya kuhamia wilaya ya Ngara.

 Bi Jenifer Mapembe  amefanya kikao kazi  na Watumishi wa Hospitali teule ya Murgwanza akisisitiza mambo mbalimbali  katika utumishi wa Umma ambayo  aliyafafanua kama ifutavyo,

Kufuata sheria ,kanuni na taratibu,Maadili ya kazi ,Haki na wajibu,kutoa huduma bila upendeleo,kufanya kazi kwa uadilifu,kuwajibika kwa Umma kwa kuwahudumia vizuri na kuwahi kazini.

Aidha aliendelea  kusisitiza matumizi sahihi ya taarifa kwenye taasisi,kutoa huduma nzuri  (Custamer Care ) kwa Wananchi , Utunzaji siri kwa Wagonjwa na ofisi pamoja na Matumizi mazuri ya teknolojia.

Aliendelea kuwasisitiza watumishi kuhakikisha wanautumia vizuri mfumo wa  upimaji utedaji kazi wa Serikali  PEPMIS  Kupendana na kushirikiana kazini . Mwisho aliwapongeza kwa kazi  nzuri

Naye Katibu wa Hospitali  hiyo amemshukuru  Mkuu huyo wa idara kwa 

Kuwatembelea na kuongea na watumishi ili kukumbushana mambo Mbalimbali ya kiutumishi.

Bi Jenifer Mapembe Mkuu wa idara ya utawala ,usimamizi na raslimali watu akiwa na Ndg Rutakinikwa Paschal na kaimu mganga mkuu hospital teule ya Murgwanza


Watumishi Hospital teule ya Murgwanza  wakiwa kwenye kikao kazi cha Mkuu wa Idara ya utawala ,usimamizi na Raslimsli watu.




www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa