• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

Wakati ilipowekwa: May 3rd, 2025

NGARA UPDATES

03/05/2025

Mkuu wa Mkoa wa kagera Mhe Hajat Fatma Mwassa ameendekea na ziara kwa kutembelea ya  kukagua Miradi Mbalimbali ya Maendeleo katika Wilaya ya Ngara.

Mhe Hajat Fatma Mwassa amefuatana na katibu Tawala Mkoa Kagera  Ndg. Stivin M. Ndaki ,  Mhandisi wa Mkoa  na Viongozi Wengine toka Mkoani.

Katika ziara hiyo Viongozi wa  Ngara akiongoza Mhe Col Mathias Kahabi Mkuu wa Wilaya pia Ndg Somon kimilike Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya  Wilaya , kamati ya usalama na wataalam wa Halmashauri.


Mhe Hajat Fatma Mwassa ametembelea na kukagua miradi ifuatayo

  1. Barabara ya lami KM 0.55 kiwango cha lami  Magereza  Mukididili kabalenzi itakayo gharimu Tshs 326,710,000/=
  2. Shule ya mchepuo wa kiingereza vyumba 8 ofisi ndogo 2  na thamani zake pamoja na matundu 10 inayojegwa kwa Mapato ya ndani ya Halmashauri ambayo itagharimu tshs  230,000,000= ambapo awamu ya Pili imetengwa tshs 300.000,000   ili kujenga jengo la utawala, nyumba ya walimu 3 in 1  na Bwalo la chakula. Aidha Mhe Hajat Fatma Mwassa amepongeza kwa kazi nzuri.
  3. Soko Mkakati la nzaza imetengwa  Tsh Bilion 1.200.000,000 za Kukamilisha .Aidha Mhe Hajat Fatma Mwassa amempongeza Mradi Mzuri  na kuwataka kukamilisha kwa wakati.
  4. Ujenzi wa  Jengo  la Utawala,  Mionzi na Jengo la kufulia thaman ya mradi Tshs Milion 800.000.000 Hospitali ya wilaya mbuba
  5. Ujenzi wa Daraja la kumwendo Mbuba utakaogharimu Tshs Milion 736,394,798.00=
  6. Ujenzi wa chuo cha VETA Rulenge Mradi ambapo awamu ya kwanza Tshs Bilion 1.686 zimetengwa .

Aidha Mhe Hajat Fatma Mwassa Amewapongeza viongozi wa Wilaya ya  Ngara kwa usimamizi mzuri wa miradi mikubwa na mizuri ya Maendeleo Aidha amempongeza na kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan kwa fedha nyingi za Miradi kwa wilaya ya Ngara pia Halmashauri zote za Mkoa wa kagera.

Mhandisi Magoli Meneja TARURA akitoa taarifa ya Mradi wa ujenzi wa Barabara ya kiwango cha lami kwa Mkuu wa Mkoa Wa kagera Mhe Hajat Fatma Mwassa . Barabara inayoitwa Magereza - Mukididili


Barabara inayojengwa kwa kiwango cha lami


Ikiwasilishwa taarifa ya ujenzi wa shule ya mchepuo wa kiingereza inayojengwa kwa mapato ya Ndani


Mkurugenzi Mtendaji wilaya Ndg Solomon kimilike akimuongoza Mhe Hajat Fatma Mwassa kukagua Vyumba vya madarasa shule mpya ya mchepuo wa kiingereza.


Mhe Hajat Fatma Mwassa akiongea na  Mhe Col Mathias J kahabi Mkuu wa wilaya pia Ndg Solomon kimilike Mkurugenzi Mtendaji Wilaya baada ya kumaliza kutembelea na kukagua shule ya mchepuo wa kiingereza


Mhe Hajat Fatma Abubakari Mwassa alipotembelea mradi wa ujenzi wa Soko la kimkakati Nzaza kabanga


Soko Mkakati la Nzaza kabanga mafundi wakiendelea na kazi


Mhe Hajat Fatma Mwassa Mkuu wa mkoa wa kagera  akiangalia Daraja la kumwendo


Daraja la kumwendo  hili ambalo litaondoa adha waliyokuwa wakipata wananchi  kushindwa kuvuka wakati wa mvua.


Mhe Hajat Fatma Mwassa alipotembelea na kukagua ujenzi wa Jengo la kufulia, Jengo la utawala na Jengo la Mionzi katika Hospitali ya Wilaya



Mhe Hajat Fatma Mwassa  akipokea taarifa ya ujenzi wa Chuo cha Ngara Veta kinachojengwa Rulenge akiwa na Mhe  Col Mathias J kahabi Dc Ngara


Chuo cha VETA NGARA  Kinachojengwa Rulenge



www.ngaradc.go.tz

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa