• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Mradi Ukamilike Ifikapo 2020 Kama Mkataba Unavyosema; Dr. Kalemani

Wakati ilipowekwa: June 12th, 2018

Wataalamu wanaosimamia mradi wa umeme wa maji wa Regional Rusumo Falls Hydroelectric Power (RRFHP), uliopo Rusumo Katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, wametakiwa kukamilisha mradi huo ifikapo ifikapo 2020 kadiri ya mkataba unavyosema.

Waziri wa Nishati Mh. Dr. Medard Kalemani wa Tanzania, na Waziri wa Miundombinu wa Rwanda Balaozi Claver Gatete, wamefikia uamuzi huo Juni 09, 2018, baada ya kutembelea eneo la mradi na kujiridhisha kwamba kazi inaendelea vizuri ingawa bado kuna changamoto.

Mawaziri hao wamewashukuru wataalamu hao, kwa jitihada wanazozifanya kuhakikisha mradi huo, unakamilika kwa wakati inagawa wataalamu, wangependa mradi ukamilike ifikapo mwaka 2022.

Waziri wa Nishai wa Tanzania Mh. Dr. Kalemani, amekataa kuongeza muda kwa madai kwamba haoni sababu ya kuongeza muda huo, kwani miezi iliyobaki inatosha kukamilisha mradi huo ikiwa watajituma.

Aidha, amewataka wataalamu kuonyesha ushirikiano na wenyeji wa Rusumo kwani bila wao mradi huo, unaweza kukwama, na kwamba kila watakapokuwa na vikao wawashirikishe wananchi hao, kwani mradi humo katika eneo lao.

“Mjenge mahusuiano mazuri na wananchi kwa sababu bila kufanya hivyo, shughuli zenu zitasusua, hata hivyo, inabidi mradi huo kama wao na kazi zenu zitaendelea bila matatizo yoyote.” Alisema Dr. Kalemani.

Mh. Dr. Kalemani amewataka wataalamu hao kushikiana na wenyeji, baada ya wananchi hao kuuzuia msafara wake kwa madai kuwa wataalamu wa mradi huo wanawabeza, kuwadharau na kuwatenga katika shughuli zao ikiwemo ajira.

Waziri Dr. Kalemani aliwataka wananchi hao kuorodhesha hoja zao za msingi na kuzikabidhi kwa kiongozi wao, ambaye ataziwasilisha kwenye vikao vya wafanaykazi wa mradi wa Regional Rusumo Falls Hydroelectric Power (RRFHP), kwa ufumbuzi wa matatizo yao.

Naye waziri wa Miundimbinu wa Rwanda Balozi Gatete, aliwashukuru wataalamu wa mradi huo, na akataka kujua iwapo matengenezo hayo, hayataathiri barabara inayopita katika eneo la mradi huo.

Wataalamu walimuhakikishia kuwa wamekwishafanya tathimini kuhusu usalama wa barabara, na kwamba barabara hiyo iko salama, na hata Miundombinu mingine, inayoizunguka mradi huo ahuna madhara dhidi yake.

Mradi wa Regional Rusumo Falls Hydroelectric Power (RRFHP), ukikamilika utakuwa na uwezo wa kutoa MW 80, ambazo kila nchi itapata MW 26.7.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa