• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Mradi wa LADP Kuwanufaisha Wananchi Wilayani Ngara

Wakati ilipowekwa: June 29th, 2018

Mradi wa umeme wa maji wa Rusumo kupitia mradi wa Local Areas Development Projects (LADP), unatarajia kutumia zaidi ya dola za Kimarekani milioni 5, kufadhiri miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Willaya ya Ngara.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Aidan John Bahama, amesena hayo June 27, 2018 ofisni  kwake, kwamba miradi hiyo itahusu huduma za afya, elimu pamoja na kilimo.

Amesema miradi hiyo inatolewa katika maeneo yaliyozungukwa na mradi mkubwa wa umeme wa Rusumo, ambapo kwa Tanzania wilaya ya Ngara itanufaika na mradi huyo; huku Burundi na Rwanda watakuwa na miradi ya aina hiyo hiyo.

“Katika wilaya yetu ya Ngara mradi huu tunaupokea kwa mikono miwili, kwani una miradi miwili mikubwa itakayofanyika katika wilaya yetu; wa kwanza ni wa kwa wale wananchi walioathiriwa na mradi wa umeme wao wana miradi ambayo itawainua kiuchumi.” Alisema Ndugu Bahama.

Alitoa mfano wa miradi ya kiuchumi kuwa ni ufugaji, kilimo katika Nyanja ya kahawa pamoja na kujengwa chuo cha ufundi cha Lemera, maji na ile ya afya; na kwamba fedha yote inatolewa na Benki ya Dunia.

Mradi wa pili ni ule wa dola za kimarekani milioni 5, ambao utatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu hadi unakamilika, na kwamba wamekwisha pokea zaidi ya shilingi milini 300 za kitanzania, kwa ajili ya kutekeleza mradi huo tangu Juni mwaka 2018.

Mkurugenzi huyo Mtendaji Ndugu Bahama, amefafanua kwamba shilinig milioni 300 alizopkea ni za kuanza kutambua miradi mbalimbali itakayowanufaisha wananchi, na kwamba vipaumbele vinaelekezwa katika huduma za maji, kilimo, afya pamoja na elimu.

Amefafanua kwamba vijiji vitakavyopedelea kujihusisha na ufugaji wa ng’ombe wa maziwa, vimetengewa dola za kimarekani zipatazo $162,000, ambazo zitatumika kutoa elimu ya ufugaji kwa wananchi pamoja na kuwanunulia ng’ombe  wakuanzisha mradi huo.

Hata hivyo, ametoa mfano kwamba kwa wale wananchi watakaotaka kufuga nyuki, kwa ajili ya kuzalisha asali; hao wametengewa dola za kimarekani zipatazo $91,000, Miradi mengine iliyotengewa fedha ni miradi ya kilimo dola $209,000, miradi ya maji $2,210,000.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa