• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Mradi wa Umeme Rusumo Kukamilika Februari 2020

Wakati ilipowekwa: February 5th, 2019

Mawaziri wanaosimamia mradi wa ujenzi wa umeme wa megawati 80 katika maporomoko ya mto Rusumo mpakani mwa Tanzania na Rwanda, limeagiza bodi ya wakurugenzi wa mradi huo, kuhakikisha wanakamilisha ujenzi huo ifikapo Februari 13, mwaka 2020.

Waziri wa Nishati wa Tanzania Medard Kalemani, akiongozana na waziri wa Nishati na Madini wa Burundi Mhandisi Come Manilakiza, na Waziri wa Miundombinu wa Rwanda Balozi Clever Gatete wametoa wametoa agizo hilo February 4,2019 wilayani Ngara mkoani Kagera, walipokutana kukagua ujenzi wa mradi huo.

Mwenyekiti wa baraza hilo Medard Kalemani, amesema lengo la kukutana katika mradi huo, ni kukagua ujenzi wa bwawa la kuzalisha na kusafirisha maji , nyumba za watumishi, jengo la kuzalisha umeme, na kuweka mikakati ya kuharakisha ujenzi, kisha kubaini changamoto zinazokabili mradi huo.

Kalemani amesema baada ya kutembelea mradi huo, ulioanza mwaka 2015, ukisainiwa na aliyekuwa waziri wa nishati na madini wa Tanzania Profesa Sospiter Muhongo, wameridhishwa na maendeleo ya mradi huo, lakini wakawataka wakandarasi kuongeza nguvu zaidi ukamilike haraka.

“Wataalam wamazie kazi zao, kwa kuzifanya kitaalam, masuala yanayohusu mamlaka bodi ya wakurunzi na na wataalam, washirikishe mamlaka zilizo juu yao, ilituweza kukamilisha mradi huo kwa wakati, na kunufaisha wananchi wa nchi zetu.” Amesema Kalemani

Benki ya Dunia kupitia bodi yake ya utendaji, ilidhinisha dola Milioni 340 za kimarekani, kwa ajili ya ujenzi wa mradi huo mkubwa, kwenye maporomoko ya mto Rusumo ulioko mpakani wa Tanzania na Rwanda, utakaowanufaisha wakazi wapatao milioni 62.

Hata hivyo, Mawaziri wa Nishati kutoka nchini Burundi na Rwanda, wamewataka wakazi wa mataifa hayo, kuongeza uzalishaji mali jirani na mradi huo, ili kupata mali ghafi zitakazohitajika katika viwanda, vitakavyotumia umeme huo; huku wakinufaika na reli kutoka Isaka kwenda mataifa hayo.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa