• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Murusagamba Yapata Milioni 265 Kuongeza Miuondombinu

Wakati ilipowekwa: February 14th, 2019

Serikali imeipatia shilingi milioni 265 shule ya sekondari ya Murusagamba katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, kwa ajili ya kujenga Bweni, Maktaba, Bwalo na jiko, pamoja na vyumba viwili vya madarasa katika shule hiyo, ambayo ina kidato cha kwanza hadi cha sita.

Akiongea kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Februari 13, 2019 ofisini kwake; Afisaelimu Idara ya Sekondari Ndugu Fikeni Ezekiel Senzighe, na kuwataka kamati ya ujenzi, bodi ya shule pamoja na wadau wote wa elimu washirikiane, ili wakamilishe zoezi hilo.

“Fedha hizi zimegawanyika katika miuondombinu ifuatayo shilingi milioni 100 zitajenga Bwalo, shilingi milioni 75 zitajenga Bweni, shilingi milioni 50 kwa ajili ya kujenga Maktaba, na shilingi milioni 40 zitatumika kujenga vyumba 02 vya madarasa.” Alisema Ndugu Senzighe.

Aidha, amesema kamati ya ujenzi na bodi ya shule hiyo, kujitolea nguvu zao, ili tuweze kutekeleza ule mradi jinsi unavyotakiwa hata na zaidi, kwa maana kwamba zipokata nyingi zenye sifa, lakini hawajapata hii bahati.

Miradi hiyo itatekelezwa kwa kutumia false akaunti, ambayo inatumika katika ujenzi wa miundombinu ya serikali katika shule za sekondari na za msingi, huku akisema wamafika shuleni kutoa elimu kwa kamati na Bodi ya shule namna ya kutumia fedha hiyo.

Idara ya elimu sekondari na timu ya wataalamu wa Halamashauri ya Wilaya ya Ngara watafanyakazi pamoja na kamati hiyo, kwa ajili ya kutoa ushauri na usimamizi wa kitaalamu pale watakapohitajika kufanyahivyo wako tayari.

“Hadi sasa kamati ya ujenzi na bodi ya shule wamewezeshwa namna watakavyofanya matumizi, matangazo yamesambazwa, kwa ajili ya kupata mafundi; na kwamba ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji imewaandikia barua rasmi ya maelekezo jinsi ya kutumia fedha.” Alisema Ndugu Fikeni.

Ameonya sheria inasema wazi kwamba mtu atayekiuka sheria za manunuzi; kwa maana kwamba atasababisha uharibifu wa fedha ya umma, au atafanya matumizi visivyo halali, lazima sheria ichukue mkondo wake, huku akidai kwamba watafanya usimamizi wa karibu ili hali hiyo isijitokeze.

Shule ya sekondari ya Murusagamba ina wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha sita; ambapo shule hiyo ina mchepuo wa masomo ya sayansi; na wanafunzi wanafanya vizuri katika mitihani yao ya ndani, kiwilaya, kimkoa na hata kitaifa.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa