• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Mwekezaji Kuwekeza Katika Zao la Kahawa, Mpunga na Viazi Mvilingo Ngara

Wakati ilipowekwa: May 16th, 2018

Mwekezaji wa Kampuni ya Tripp Co. Ltd kutoka nchini Korea Kusini Ndugu Kim Un, ametembelea eneo la ekari 1000, lililoko katika kata ya Keza eneo la Msalasi na Muko, katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, kwa ajili ya kuwekeza katika zao la kahawa na viwanda vya kukoboa kahawa na kutengeneza mbolea.

Akimuonyesha eneo hilo Mei 13, 2018, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Aidan John Bahama, amemwambia kwamba Halmashauri yake inayo ardhi ya kutosha, kwa ajili ya shughuli za kilimo na kwamba atapata ardhi anayoitaji kwa ajiili ya shughuli zake.

Ndugu Bahama alimwambia mwekezaji huyo. kwamba eneo alilompatia ni la kimkakati. kwani Tanzania inajenga reli ya kisasa itakayopitia eneo hilo kwenda nchini Burundi na Rwanda, itakayosaidia kusafirisha bidhaa zake, na kuongeza kwamba kuna mradi wa umeme wa maji utakotumika katika viwanda atakavyoanzisha.

“La msingi mtuandikie mahitaji yenu ya ardhi mnayohitaji; kwa sasa tuna hizo ekari 1000, lakini tunaweza kupata zaidi ya hizo, hivyo ardhi inayoongezeka tutawapa tu bila wasiwasi.”alisema Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri.

Muwekezaji huyo baada ya kupata eneo hilo alilidhika, na kusema kwamba mbali na kuwekeza katika zao la kahawa angependa kupata ekari 4000, kwa ajili ya zao la kahawa, ekari 4000 kwa ajili ya kulima mpunga, na ekari 4000 kwa ajili ya kuwekeza katika mbegu za viazi mvilingo.

“Lengo kubwa ni kuanzisha mradi wa mashamba makubwa ya kahawa aina ya Arabika, si kwa ajili ya Tanzania na Afrika tu bali kwa dunia nzima, lakini pia nataka kuanzisha shamba la viazi kwa ajili ya mbegu na mradi wa kilimo cha mpunga utakuja baadae.”alisema Ndugu Kim Un.

Mwekezaji huyo ameahidi kushirikiana na wananchi na kuwaomba wajiandae kulima kahawa, kwani yeye atainunua kahawa yao na kuwapa ajira katika mashamba yake ya kahawa, na katika viwanda atakavyoanzisha.

Aidha, amesema atahakikisha huduma za jamii kama vile maji, shule na zahanati zinajengwa, kwa kushirikiana na wananchi hao; huku akidai kwamba wananchi hao watajifunza teknolojia mpya ya kuzalisha zo la kahawa.

Naye Katibu Tawala wa Wilaya ya Ngara Ndugu Vedastus Tibaijuka, amewataka wananchi kushirikiana na mwekezaji huyo, kwa madai kwamba mwekezaji anapowekeza wananchi wanafaidika, kwa ajira na kuuza mazao yao.

Ndugu Tibaijuka amewahakikishia, kwamba ikiwa kuna wananchi ambao ardhi yao itakuwa katika eneo alilopewa mwekezaji, watalipwa fidia na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri atalishughulikia hilo kwa kuweka makubaliano yote katika maandishi.

Mwekezaji huyo, aliambatana na Maratibu wa Mratibu wa mradi nchini Korea ndugu, William Mwingira, Waratibu wa Mradi nchini Tanzania ndugu David Mabura, Ndugu Daniel Ndayanse, Ndugu Karim Amri na Ndugu Issa Samma.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa