• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

NAIBU WAZIRI DKT. SAMIZI APOKEA MAWASILIANO KUTOKA VITENGO, IDARA NA PROGRAMU ZA WIZARA YA AFYA

Wakati ilipowekwa: January 10th, 2026

Naibu Waziri wa Afya, Dkt. Florence Samizi leo tarehe 10 Januari, 2026, ameendelea kupokea mawasilisho mbalimbali ikiwa ni mwendelezo wa kupata uelewa wa kina na taswira ya jumla kuhusu majukumu yanayotekelezwa katika Vitengo, idara na programu za Wizara ya Afya kikao kinachofanyika jijini Dodoma katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete.

Katika kikao hicho, Dkt. Samizi anapokea mawasilisho kutoka Mpango wa Taifa wa Kudhibiti UKIMWI (NASHCoP), Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Malaria pamoja na Mpango wa Taifa wa Kudhibiti Kifua Kikuu na Ukoma (NTLP) ambapo ni programu na miradi inayofadhiliwa chini ya Mfuko wa Dunia (Global Fund).

Aidha, mawasilisho hayo yanahusu hali ya utekelezaji wa miradi, matumizi ya rasilimali, pamoja na mikakati ya kuimarisha ufanisi wa programu hizo katika kuboresha huduma za afya kwa wananchi ili kuhakikisha malengo ya kitaifa ya kudhibiti UKIMWI, Malaria na Kifua Kikuu yanafikiwa kwa wakati.

Dkt. Samizi amesisitiza umuhimu wa kufanya tathmini ya kina ya utekelezaji wa programu na miradi inayofadhiliwa na Mfuko wa Dunia (Global Fund), ili kuhakikisha rasilimali zinazotolewa zinatumika kwa ufanisi, uwazi na kuleta matokeo yanayokusudiwa kwa wananchi.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • RAIS DKT. SAMIA: TUZO YA CAF INANIPA NGUVU YA KUANDAA AFCON 2027

    January 10, 2026
  • NAIBU WAZIRI DKT. SAMIZI APOKEA MAWASILIANO KUTOKA VITENGO, IDARA NA PROGRAMU ZA WIZARA YA AFYA

    January 10, 2026
  • DKT. MWIGULU ANAZUNGUMZA NA MACHINGA, MADEREVA PIKIPIKI NA BAJAJI

    January 08, 2026
  • SALAMU ZA MWAKA MPYA KUTOKA KWA DED NGARA

    January 01, 2026
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa