• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

NFCSL Yazidi Makisio Katika Makusanyo ya Kahawa Aina ya Arabika 2018/2019

Wakati ilipowekwa: September 27th, 2018

Chama cha Ushirika cha Ngara Farmers Cooperative Society LTD (NFCSL) hadi September 09, 2018, kimekusanya kilo 952,056 za kahawa aina ya Arabika, na kuwalipa wakulima jumla ya shilingi 939,726,000.  

Hayo ni kwa mujibu wa Kaimu Meneja wa Chama cha Ushirika cha Ngara Farmers Cooperative Society LTD Ndugu Amphrey S. Kachecheba, wakati akiwasilisha taarifa ya makusanyo ya kahawa msimu wa 2018/2019 mjini Dodoma.

“Msimu huu tulitarajia kukusanya tani 2,000 za kahawa kutoka kwa wakulima Wilayani Ngara, ambapo Arabika tilikisia tani 500 na Robusta tani 1,500; lakini hadi katikati ya mwezi wa tisa tumekusanya kilo zipatazo 952,056.” Alisema Ndugu Kachecheba.

Amesema kwao hayo ni mafanikio kwani Chama cha Ushirika kimeongeza kilo zipatazo 452,056, ambalo ni sawa na ongezeko la asilimia 90.4; ingawa bado chama kinadaiwa kiasi cha shilingi 12,330,000/= sawa na kilo 12,330.

Aidha, ameogeza kwamba hadi Septemba 09, 2018, wamefanikiwa kukoboa magunia yapatayo 629, kati ya hayo magunia 561, yamewekwa kwenye madara tofauti aliyoyataja kuwa ni FAQ, UG, TRIAGE, NA BHP.

Mafanikio mengine aliyoyataja Ndugu Kachecheba ni kwamba, wakulima wengi wanauza kahawa iliyosafi na bora baada ya kuelimishwa na chama hivyo, kuanika kahawa yao kwenye chanja na maturubai.

Amezitaja changamoto zinazokikabiti chama hicho, kuwa ni baadhi ya mashine zao za kukoborea kahawa kuaharibika vipuri, kwa sbabu ya kukaa muda mrefu bila kufanyakazi.

Kukatika mara kwa mara kwa umeme, amsema kunakwamisha shughuli za kukoboa kahawa na hivyo kusababisha mlundikano wa kahawa katika maghala machache waliyonayo, hivyo kulazimika kuahifadhi kahawa hiyo nje.

Ukosefu wa maghala ya kuhifadhia kahawa kwao ni changamoto, kwani msimu wa mvua unakaribia, na kuuomba uongozi wa wilaya kutafuta njia ya kutatua changamoto hiyo, na kuongeza kwamba maghala yamechakaa sana kwani yamekaa muda bila kukarabatiwa.

Chama cha Ushirika cha Ngara Farmers hakijabweteka, bali kimechukua hatua ya kukodisha mashine za kiwanda cha Ngara Coffee; kama mbadala wa kukoboa, kuchambua na kuweka madaraja mbalimbali ya kahawa.

Chama kimeendelea kushirikiana na na vyama vikuu vya ushirika mkoani Kagera, Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, pamoja na Wizara ya Kilimo, katika kutatua matatizo na kujifunza uzoefu katika suala zima la ukusanyaji, kuhifadhi, kukoboa na kutafuta soko la kahawa.

Wakati huo huo, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Aidani Bahama, amewataka wanachi kuwa nasubira, wakati serikali inatafuta ufumbuzi wa matatizo yao ya malipo ya kahawa.

Amewafafanua kwamba Chama cha Ushirika kintarajia kupeleka sampuli ya kahawa ya wakulima, iliyowekewa madaraja na baada ya sampuli hiyo, kutoka mnadani wataweza kufahamishwa bei kamili kwa kilo moja ya kahawa.

Wakulima walitaka kujua kama watarejeshewa magunia yaliyochukuliwa na chama hicho wakati wanauza kahawa yao, Meneja wa Chama cha Ushirika Ndugu Kachecheba amewahakikishia wakulima hao, kuwa chama kitwarejeshea magunia yao pindi yatakapopatikana.   

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa