• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

Wakati ilipowekwa: May 30th, 2025

NGARA UPDATES

30/05/2025

Timu ya Michezo ya Wilaya ya Ngara  iliyoshiriki michezo ya UMITASHUMTA Ngazi ya Mkoa imeweza kushika nafasi ya tatu 3.katika ushindi wa Jumla Kwa michezo yote iliyoshindaniwa.

Mashindayo hayo yaliyofanyika chuo cha ualimu  katoke Wilayani Muleba Mkoa wa Kagera.

Mgeni rasmi alikuwa Mhe Stephen M Ndaki Katibu Tawala Mkoa wa Kagera, pia walihudhuria  Kaimu Afisa elimu Mkoa Ndg Saimon Chibon, Mkiti wa maafisa elimu Ndg Julius Shula Afisa Michezo Mkoa Ndg Kepha Elias . Kaimu  Maafisa  Elimu msingi, maafisa michezo na utamaduni walimu wa michezo .ambapo halmashauri zote za Mkoa wa kagera zilishiriki jumla ya wanafunzi wanamichezo 790 wameshiriki michezo na kuchaguliwa wanafunzi 120  kuunda timu ya Mkoa 

 Michezo ambayo Ngara ilifanya vizuri ni

  1. Mpira wa kikapu - Basketball  wavulana fainali na  kushika nafasi ya kwanza  kimkoa nakupata kikombe.
  2. Mpira wa kikapu Basketbali  wasichana  kucheza fainali na kushika nafasi ya  Pili kimkoa
  3. Mpira wa wavu wavulana  Volleyball   fainali kushika nafasi ya kwanza kimkoa na kupata kikombe.
  4. Mpira wa kikapu  wasichana Basketball fainali na kushika nafasi ya Pili kimkoa
  5. Riadha wasichana kimkoa kushika nafasi ya 3
  6. Mpira wa Mikono HANDBALL  kucheza fainali na kushika nafasi ya Pili kimkoa
  7. Goal ball Mpira kengele kwa watoto wenye uoni hafifu wasichana ambapo timu ya Ngara imeshika nafasi ya Pili kimkoa
  8. Goal ball Mpira kengele kwa wavulana wenye uoni hafifu timu hiyo imeshika nafasi ya tatu kimkoa
  9. Netiboli timu imeishia hatua ya makundi 
  10. Soka timu imeishia hatua ya makundi

Jumla ya wanafunzi 18 kutoka Ngara na walimu 2  wamechaguliwa kuunda timu ya Mkoa ambayo imeanza kambi tangu  tarehe 30/05/2025 kujiandaa na mashindano ya UMITASHUMTA  Ngazi ya Taifa  yatakayofanyika Mkoa wa Iringa tarehe 7/6/2025

Katibu Tawala Mkoa wa kagera Mhe Stephen M. Ndaki  aliyeshika kikombe ili kumkabidhi kapteni wa timu ya Ngara baada ya kuwa Mabingwa wa mchezo wa Mpira wa kikapu (Basketball)


Wilaya ya Ngara walipopokea kikombe cha Mpira wa kikapu baada ya kuwa bingwa wa mchezo huo


Mwl Olipa  kutoka Ngara  mwalimu wa mchezo wa Goal ball mpira kengere kwa watoto wenye huoni hafifi wakipokea pongezi kwa kushika nafasi ya pili kimkoa kutoka kwa katibu Tawala Mkoa  Ndg Stephen M Ndaki. Wakati wa kufunga michezo ya Umitashumta Mkoa


Katibu Tawala Mkoa Ndg Stephen M.Ndaki  akiwa na kaimu Afisa Elimu mkoa Ndg Saimon Chibon, Mkiti wa Maafisa Elimu Ndg Julius Shula  na Mkuu wa Chuo cha Ualimu Katoke














Afisa Michezo Mkoa wa kagera Ndg Kepha Elis akitoa alipotoa taarifa ya michezo Ngazi ya Mkoa

Ngara kazi inaendelea

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa