• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Ongezeni Bidii Katika Mazoezi Mtasonga Mbele Kimichezo; Bi Munyonyera

Wakati ilipowekwa: October 15th, 2018

“Naamini kwa umri wenu mnaweza kusonga mbele kimichezo mradi muwe na nidhamu ya kufanya mzoezi, na kuachana na mambo yasiyojenga katika maisha.” alisema makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Bi. Geogia Munyonyera.

Bi Mnyenyera ameyasema hayo Oktoba 11, 2018, katika Kata ya Ngara Mjini katika Mtaa wa Mukididili, wakati akikabidhi jozi 25 kwa timu za Ndole na Mukatanga.

“Leo tunategemea mtaonyesha mchezo mzuri tuone, lakini lego ni kuwakutanisha, ili muendelee kuwa na undugu, urafiki na maelewano; maana mnapokutana mnafahamiana zaidi.” alisisitiza Bi. Munyonyera

Aliwaambia wachezaji hao, kwamba michezo ni afya, ni upendo na ni ajira, akawataka waendelee kumwomba Mwenyezi Mungu, awape nguvu tele waweze kufanikisha nia njema waliyoianza ndani mwao.

Aidha, amewataka kuzitunza jezi hizo, ili ziweze kufanikisha kile walichokusudia huku akiwataka kumuunga mkono Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mtaa wao Bi Faidhi Rugambati aliyemuomba Bi Munyonyera kuwafadhili jezi hizo.

Amesema kwamba hakukurupuka kufahdili timu hizo, bali baada ya kupata wazo hilo, allilipeleka katika vikao mbalimbali vya kata vya Mtaa, kitongoji na hata kijiji, apate Baraka kutoka kwa uongozi.

Mmoja wa akina mama aliyehudhuria katika hafla hiyo, alinukuliwa akisema kwamba anamshukuru Bi. Munyonyera kwa ufadhiri huo, kwani kwa kuwashangilia vijana wao amepata muda wa kucheka na kutaniana na wenzake.

Vijana wameahidi kuhudhuria mazoezini kila jioni, ili wajiendeleze kimichezo, huku wazee wakisema wamepata mahali pa kupotezea muda wakati wa jioni, badala ya kukaa kwenye vilinge vya pombe.

Baada ya kupata jezi timu zilitunishiana misuli ambapo Ndole FC; iliibuka kidedea kwa kuifunga Mukatanga FC mabao mawili kwa nunge, ambapo magoli ya Ndole FC yalifungwa na Alon Rugondoka na Emmanuel Agonda.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI ROBO YA TATU 2024/2025 WAFANYIKA UKUMBI WA COMMUNITY CENTRE NGARA MJINI

    May 07, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA ABUBAKARI MWASSA AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDEKEO WILAYA YA NGARA

    May 03, 2025
  • MHE HAJJAT FATMA MWASSA AFANYA ZIARA YA KUKAGUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO WILAYA YA NGARA

    May 02, 2025
  • MKUU WA MKOA MHE HAJAT FATMA MWASSA MGENI RASMI MAADHIMISHO YA SHEREHE ZA WAFANYAKAZI ZAFANA KIMKOA WILAYA YA NGARA

    May 01, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa