• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Shirikini Katika Zoezi la Knyunyizia Dawa ya Kuua Mbu Tutokomeze Malaria: Brig. Jen. Gaguti

Wakati ilipowekwa: October 29th, 2018

Wananchi wote katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, wametakiwa kushiriki kikamilifu katika zoezi la kunyunyizia dawa ya kuua mbu majumbani, ili waweze kuutokomeza ugonjwa wa Malaria ifikapo Mwaka 2022.

Hayo ni kwa mujibu wa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brig. Jenel. Marco Elisha Gaguti, alipofanya ziara ya siku moja Oktoba 29, 2918 katika Wilaya ya Ngara, ili kujionea mwenyewe zoezi la kunyunyizia dawa ya ukoko linavyoendelea wilayani humo.

“Nimefika kata ya Rusumo katika kijiji cha Mshikamano, na kufanya tathimini ya zoezi la kunyunyizia ukoko majumbani linavyoendelea, nimeona linaendelea vizuri, kwa maana kwamba wanaofanyakazi hiyo, wamepata ushirikiano wa kutosha ingawa siyo kwa 100%”. Alisema Brigedia Jenerali Gaguti.

Amesema lengo la serikali ni kwamba zoezi hili lifikie 100%; huku akiwataka viongozi wa vijiji na kata, kuwahamasisha wananchi kujitokza kwa wingi, ili zoezi lifanikiwe na hatimaye Malaria iwe Historia katika mkoa wa Kagera na taifa kwa ujumla.

Kutokomeza Malaria hapa nchini kunawezekana kwani uzoefu unanesha kwamba mkoa wa Kagera mwaka 2015/2016, ulikuwa na asilimia 42% za maambukizi, lakini takwimu za mwaka 2017/2018 zinaonesha kwamba mkoa umekuwa na maambukizi kwa 15.1%.

Hata hivyo, amesema amemua kufanya ziara katika wilaya ya Ngara, na wilaya nyingine zoezi hili linapoendelea, ili aweze kujionea mwenyewe linavyoendelea na kama kuna changamoto, aweze kuitafutia ufumbuzi kama mkoa.

Amesema changamoto aliyoiona ni upungufu wa vingozi wa kuowaongoza, na kuwahamasisha wananchi, waweze kujitokeza na kutoa ushirikiano wa kutosha kwa wanaopiga dawa, hivyo akaahidi kushirikiana na viongozi wengine ngazi ya mkoa kuhakikisha changamoto hiyo inaondoka.

Aidha, amesema kwamba viongozi wate wamepewa dhamana, hivyo ni vema wakawajibika katika hili, ili wahakikisha wananchi wote wanashiki kikamilifu katika zoezi hili, ili malengo ya serikali yaweze kutimia.

wakati huo huo, Mganga mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Dr. Revocatus Ndyekobora, amewataka viongozi wa vijiji, vitongoji na wa kata watoe ushirikiano katika kuhakikisha kwamba wananchi wote wanashiki kikamilifu katika zoezi hili.

Amesema wahamasishaji walioteuliwa na wilaya ni wa chahche kuweza kuwapitia wananchi wote, hivyo, akawataka viongozi hao kuwa mstari wa mbele katika kufanikisha zoezi hilo, huku akisisitiza kwamba zoezi hili ni la kitaifa, hivyo lazima wahakikishe linafanikiwa.

“Malaria ni ugonjwa mbaya hasa kwa aja wazito na watoto chini ya miaka mitano, kwa hiyo tuendelee kutoa ushirikiano kwa jitiada zinazofanywa na serikali, ili tuutokomeze kabisa”. Alisema Dr. Ndyekobora.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • MCHENGERWA: MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI - MTUMBA DODOMA

    May 23, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa