• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Shule za Msingi Ngara Zapokea Vitabu vya Kujifunzia na Kufundishia

Wakati ilipowekwa: June 25th, 2018

Serikali imeipatia Halmashauri ya wilaya ya Ngara, jumla ya vitabu 4,916 kati ya 9,832 vya mitaala mipya vinavyotarajiwa kuletwa, kwa ajili ya kujifunza na kufundisha watoto wa darasa la nne.

Mkuu wa Wilaya ya Ngara Lt. Col. Michael Mntenjele, amesema kwamba hizo ni juhudi za serikali katika kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia.

Amesema aerikali itaendelea kuziwezesha shule za sekondari na za msingi kwa kutoa vitendea kazi, kadiri rasilimali ya kugharimia vifaa hivyo itakavyokuwa inapatikana.

Mkuu huyo wa Wilaya ya Ngara, amesema kwamba idadi ya watoto inaongezeka kila mwaka, na kwamba ongezeko hilo haliendi sambamba na ongezeko la vifaa vinavyohitajika, kwa ajili ya kufundishia watoto wao.

“Tunaishukuru serikali kwani katika kutimiza lengo la kuboresha elimu hapa nchi, tumepokea shilingi milioni 142, kwa ajili ya ujenzi wa maabara katika shule za sekondari, na shilingi milioni 152, kwa ajili ya kujenga vyumba vya madarasa katika shule za msingi.” Alisema mkuu huyo wa Wilaya Lt. Col. Mntenjele.

Aidha, amesema wazazi wanawajibika kuhakikisha watoto wanahudhuria masomo yao, na wanasoma kikamilifu, huku wakifuata maelekezo ya walimu, ili kufanikisha lengo la taifa la kutoa elimu bora kwa wanafunzi na si bora elimu.

Amekemea tabia ya wazazi kuwazuia watoto kuhudhuria shule, ili washiriki shughuli za kilimo, kuchunga mifugo pamoja na shughuli nyinigine zisizohusu masomo, zinawazuia watoto hao kupata haki yao ya msingi ambayo ni elimu.

Naye Afisaelimu Idara ya Msingi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Gideon Mwesiga, amesema kwamba idara yake imefanikiwa kuwasajili watoto wa kujiunga darasa la kwanza, na la awali kwa zaidi ya 100%.

Anaishukuru serikali kwa kuiwezesha idara yake kupata vitabu vya darasa la nne vya mitaala mipya, kupata fedha za kujenga madarasa, pamoja na vifaa vingine muhimu vinavyosaidia shughuli za kufundishia na kujifunzia.

Hata hivyo amesema kwamba pamoja na mafanikio hayo, idara yake ina matatizo ya upungufu wa nyumba za walimu, wazazi kuwashawishi watoto kufanya vibaya mitihani yao ya kuhitimu darasa la saba, pamoja na upungufu wa vifaa vya kufundishia na kujifunzia.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa