• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Simamieni Mradi wa LADP Kwa Uthabiti na Umakini; Brig. Jen. Gaguti

Wakati ilipowekwa: November 28th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brig. Jen. Marco Elisha Gaguti, ameutaka uongozi wa Wilaya ya Ngara, kuwa na msimamo thabiti, uandilifu na umakini katika kusimamia mradi wa Local Area Development Plan (LADP) ili uwe na tija kwa walengwa.

Mkuu huyo wa Mkoa wa Kagera ameyasema hayo Novemba 26, 2018, ofisini kwake wakati akiongea na wakuu wa Wilaya ya Ngara, waliofanya ziara ya siku moja ofisini kwake, kwa lengo la kumfafanulia malengo na faida za mradi huo kwa wananchi.

“Ninavyoona sasa Ngara inakwenda kubadirika itakuwa mpya, kinachotakiwa ninyi kama viongozi, ni kuwa na msimamo na usimamizi thabiti, ili malengo mazuri ya mradi huo yatimie.” Alisema Brig. Jen. Gaguti.

Amesema miradi hiyo imekuja wakati muafaka, kwani wilaya inakabiriwa na upungufu mkubwa wa vyumba vya madarasa, kufuatia ongezeko kubwa la wanafunzi wanaoingia awali, darasa la kwanza na kidoto cha kwanza mwakani.

Amesema mradi huo ni mkubwa kwani kukamilika kwa vituo vya afya vya Rusumo na Lukole kutasaidia kwa kiwango kikubwa huduma za afya kwa wananchi wa Halmashauri ya Wikaya ya Ngara.

Ameahidi kutembelea mradi huo pindi itakapoanza, ili aweze kujionea mwenyewe; huku akiwasisitiza viongozi wa wilaya ya Ngara, kuwahamasisha wananchi wajitolee katika kufanikisha mradi huo, ili fedha hiyo iweze kuwa na tija zaidi.

Amewashauri kuwa wavumilivu na wastahimilivu kwa madai kwamba matatizo na changamoto, lazima ziwepo katika kutekeleza mradi mkubwa namna hiyo, kwani walipo watu lazima changamoto ziwepo.

Aidha, Mkuu wa Wilaya ya Ngara Lt. Col. Michael Mntenjele ameahidi kuhakikisha mradi huo, unatekelezwa jinsi ulivyopangwa na walengwa wananufaika na mradi huo; tayari watanzania kadhaa wameajirawa katika mradi huo.

Mkuu huyo wa Wilaya amesema wananchi wanaoathirika na mradi huo, wanalalamika kwamba wao hawapati ajira bali watu kutoka mbali ndio wanaoajiriwa, wanasahau kwamba ajira zinatolewa kwa elimu kwa kiwango cha elimu.

Amekiambia kikao hicho kwamba wakati wa kupasua miamba baadhi ya nyumba za wananchi zilipata nyufa, lakini baadhi ya wananchi hao wanagoma kupokea fidia hiyo kwa madai kwamba fedha ni kidogo.

“Watu hawataki kufidiwa kulingana na madhara yaliyotokea, wanataka wapewe fedha zote, kasha tuwahamishe wakajenge sehemu nyingine; wanaomba hivyo, kwa sababu watu waliolipwa fidia kutoka Benki ya Dunia walipata fedha nyingi.” Alisema Lt. Col. Mntenjele.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa