• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Tumieni Fedha Kidogo Inayopatikana Kuboresha Miundombinu ya Shule Zetu

Wakati ilipowekwa: November 28th, 2018

“Fedha zitaendelea kuwa kidogo ongezeko la wanafunzi limekuwa mara mbili ya uwezo wa miundombinu iliyopo, lazima tutumie fedha kidogo zinazokuja kuboresha zaidi upatikanaji wa miundombinu katika shule zetu.” Alisema Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brig. Jen. Marco Elisha Gaguti.

Brig. Jen. Gaguti alitoa rai hiyo Novemba 21, 2018 wakati wa ziara yake ya siku moja katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, ili kuangalia utayari wa mkoa kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza, awali na wa darasa la kwanza mwaka wa masomo 2019.

“Kuja kwangu hapa sitarajii kujibu hoja yoyote iliyojitokeza, ispokuwa nikirudi nitafanya tathimini na ikiwezekana tutaitana viongozi wote wa mkoa, ili tushiriki katika kikao cha pamoja kuona nini kifanyike, ili lengo liweze kutimia.” Alisema Ndugu Gaguti.

Alisema anafahamu kwamba mpango wa elimu bila malipo kwa wanafunzi, umeogeza Baraka la kuwa na kiasi kikubwa cha wanafunzi, ikilinganishwa na idadi ya wanaohitimu darasa la saba; huku akisisitiza kwamba dhamira yake ni kuona jinsi Halmashauri, ilivyojipanga kukabiliana na ongezeko hilo.

Mkoa usingependa kuona muhula wa masomo mwaka 2019, unaanza huku wanafunzi wakiwa na changamoto ya miundombinu ya kupata elimu; kwake hilo ndo kubwa na akatoa rai ya kuhakikisha halitokei mkaoni humo.

Ameutaka uongozi wa Wilaya ya Ngara kuweka mikakati halisia ya kuhakikisha miundombinu inapatikana, ili wilaya na mkoa kwa ujumla uweze kufikia lengo la kuendelea kubaki katika kiwango cha ubora wa elimu kinachohitajika.

Katika taarifa ya sekta ya elimu iliyowakisilishwa kwa Mkuu wa Mkoa, imeonyesha kwamba shule ya msingi ina wanafunzi 5065 waliohitimu darasa la saba mwaka 2018, na maoteo ni 23130 watakaingia awali na darasa la kwanza mwaka 2019.

Kwa upande wa shule za sekondari katika Wilaya ya Ngara, takwimu zinaonyesha kwamba mwaka 2018, wamehitimu kidato cha nne wanafunzi 1730, na wanatarajia uenda idadi hiyo ikaongeza mara mbili.

Takwimu za taarifa hiyo zmeonyesha kwamba, ili kukidhi haja shule za sekondari wilayani humo, vinahitajika vyumba vya madarasa viapatavyo 106 ambapo mapungufu ni vyumba 45, maabara zipo 66 zinapungua 22, ambapo matundu ya vyoo yapo 180 na yanapungua matundu 60.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA YAFANYA VIZURI MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA

    May 30, 2025
  • MHE. COL MATHIAS KAHABI DC NGARA AKUTANA NA BALOZI WA RWANDA.

    May 29, 2025
  • NGARA YAENDELEA VIZURI NA MICHEZO YA SHULE ZA MSINGI UMITASHUMTA NGAZI YA MKOA.

    May 26, 2025
  • MADEREVA WAPATIWA MAFUNZO YA USALAMA BARABARANI ILI KUPUNGUZA AJALI - NGARA

    May 24, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa