• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Tunafanya Vizuri Kitaaluma Tusiiharibu Historia Hiyo: REO Kagera

Wakati ilipowekwa: April 4th, 2019

Wananchi mkoani Kagera wametakiwa kuitunza historia ya kufanya vizuri kitaaluma kwa kuhakikisha wanafunzi wanahudhuria masomo ya kadiri ya taratibu na kanuni zilizowekwa na serikali na kuongeza miundombinu inayopungua katika taasisi za elimu mkoani humo.

Hayo ni kwa mujibu wa Afisaelimu wa Mkoa wa Kagera Ndugu Aloyse Kamamba Aprili 04, 2019 wakati akiongea na mwandishi wa habari hii kwamba mkoa huu ni mmoja kati ya mikoa inayofanya vizuri kitaaluma.

“Mkoa wa Kagera ni mmoja wa mikoa inayofanya vizuri kitaaluma tusiiharibu historia hiyo natunaweza tukaiaribu historia hiyo endapo watoto wayendelea kutoroka, au miundombinu haitakuwa ya kutoshereza.” Alisema Ndugu Kamamba.

Akizungumzi matokeo kwa miaka miwili mfululizo amesema kwamba mkoa wa Kagera, umefanya vizuri, kwani umeshika nafasi ya 08, kati ya mikoa 31 ikiwemo ya Tanzania visiwani katika matokeo ya darasa la saba kitaifa mwaka 2018.

Mwaka 2017 mkoa ulishika nafasi ya 09 kwa hiyo; umepanda nafasi moja, huku akisema kwamba kuna baadhi ya Halmashauri ambazo hazikutimiza wajibu wake vizuri kama Halmashauri ya Wilaya ya Missenyi aliyodai kuwa “haikututendea haki uwajibikaji wake ulikuwa ni hafifu.”

Ameitaka jamii mkoani humo kushiriki katika ujenzi wa miundombinu inayopungua shuleni msingi na sekondari huku akiwataka wazazi kuwafuatilia watoto wao wanaporudi toka shuleni ili wajiridhishe na maendeleo yao kimasomo.

“Tusiwaache watoto wanajipeleka shuleni na kujirudisha tu, lakini walau wanapotoka shuleni, wazazi wahakikishe wanajiridhisha kwa kuaangalia walichokifanya watoto wao shuelni kama wanaendelea vizuri na kama wamehudhuria shuleni.” Alisisitiza Ndugu Kamamba.

Aidha, amewasihi wazazi, kuhakikisha kwamba watoto wanapata chakula wawapo shuleni na kwani tumbo lililowazi linamfanya mtoto hasishiriki vizuri masomo yake; hivyo, amewaomba wazazi, wahakikishe watoto wao wanapata chakula wanapokuwa shuleni.

Kwa upande wa wasimamizi wa masuala ya elimu ambao ni wanasiasa wakiongozwa na Mh. mkuu wa Mkoa wa Kagera Brig. Jen. Marco Elisha Gaguti na Waheshimiwa Wakuu wa Wilaya zote za mkoa wa huo, amewaomba waendelee kusaidia, ili wahakikisha miundombinu inatosheleza katika taasisi za elimu.

katika kuhakikisha kwamba historia ya kufanya vizuri kitaaluma inadumu, amewataka maafisaelimu katika wilaya zote wafuatilie na kusimamia ufundishaji wa walimu, ili  mkoa uendelee kufanya vizuri.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa