• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Tunzeni Mali za Ujenzi wa Mradi Huu ili Uwe na Tija kwa Walengwa: Bahama

Wakati ilipowekwa: April 2nd, 2019

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Aidan John Bahama, ameridhishwa na ujenzi wa miundombinu. inayojengwa katika shule ya sekondari ya Murusagamba, na kuwataka wahusika kuitunza, ili iwe na tija kwa walengwa.

Ndugu Bahama amesema hayo Aprili 01, 2019 shuleni hapo, alipotembelea eneo hili, ili kujiridhisha na maendeleo ya mradi huo, matumizi ya mali na fedha, iliyotolewa na serikali kwa ajili ya ujenzi wa madarasa mawili, bweni, bwalo na jiko pamoja na maktaba.

Amesema kwamba juhudi zinzoendelea katika ujenzi wa mradi huo unaridhishwa kwa sababu kwa muda mfupi tayari wanapaua vyumba viwili vya madarasa, bwalo limefikia hatua nzuri, na bweni limefikia usawa wa lenta.

“Wito wangu kwa walimu , wanafunzi na wananchi wanaozunguka mradi huu, mali zinazoletwa kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu hii, itunzwe vizuri kwa sababu ni fedha nyingi za serikali zilizowekezwa hapa, itakuwa si busara zikitumiwa tofauti na malengo yalikusudiwa.” Alisema Ndugu Bahama.

Lengo la serikali ya awamu ya tano ni kuona miundo mbinu hiyo, imekamilika ili iweze kutatua changamoto za upungufu wa mabweni, makitaba, pamoja na bwalo katika taasisi hiyo; huku ikitoa nafasi za masomo kwa vijana wengi zaidi katika shule hiyo.

Aidha, amewapongenza wasimamizi wa majengo hayo, ambao amewataja kuwa ni walimu wa idara ya ujenzi, kamati ya ujenzi na watu wote wanaofanyakazi katika mradi huo, kwa jitihada wanazozionyesha katika kuhakikisha majengo hayo, yanakamilika kwa wakati.

Serikali iliipatia shilingi milioni 265, shule ya sekondari ya Murusagamba katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, kwa ajili ya kujenga Bweni, Maktaba, Bwalo na jiko, pamoja na vyumba viwili vya madarasa katika shule hiyo, ambayo ina kidato cha kwanza hadi cha sita.

“Fedha hizi zimegawanyika katika miuondombinu ifuatayo; shilingi milioni 100 zitajenga Bwalo, shilingi milioni 75 zitajenga Bweni, shilingi milioni 50 kwa ajili ya kujenga Maktaba, na shilingi milioni 40 zitatumika kujenga vyumba 02 vya madarasa.” Alisema Ndugu Bahama.

Miradi hiyo itatekelezwa kwa kutumia false akaunti, ambayo inatumika katika ujenzi wa miundombinu ya serikali katika shule za sekondari na za msingi, huku akisema wamafika shuleni kutoa elimu kwa kamati na Bodi ya shule namna ya kutumia fedha hiyo.

Idara ya elimu sekondari na timu ya wataalamu wa Halamashauri ya Wilaya ya Ngara watafanyakazi pamoja na kamati hiyo, kwa ajili ya kutoa ushauri na usimamizi wa kitaalamu pale watakapohitajika kufanyahivyo wako tayari.

Shule ya sekondari ya Murusagamba ina wanafunzi wa kidato cha kwanza hadi cha sita; ambapo shule hiyo ina mchepuo wa masomo ya sayansi; na wanafunzi wanafanya vizuri katika mitihani yao ya ndani, kiwilaya, kimkoa na hata kitaifa.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa