• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

UBINAFSI, UOGA NA UKOSEFU WA UTHUBUTU NI CHANZO CHA KUFELI KWA MWANAMKE

Wakati ilipowekwa: March 8th, 2020

Leo ni siku ya Wanawake Duniani ambapo kwa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara,siku hii imeadhimishwa katika Mamlaka ya Mji mdogo Rulenge.Maadhimisho haya yameongozwa na kauli mbiu ya “Kizazi cha Usawa kwa Maendeleo ya Tanzania ya Sasa na Baadae”. 

Mgeni Rasmi wa Siku hii alikuwa Ndugu Issa Samma ambaye aliongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Ngara Ndugu Aidan Bahama. Sherehe hiyo pia ilihudhuriwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Ngara Ndugu Eric Nkilamachumu, Wakuu wa Idara ya Halmashuri ya Ngara,wadau mbalimbali wa Maendeleo akiwemo Meneji wa benki ya CRDB,Meneja benki ya NMB, Meneja TCRS na wadau wa taasisi nyinginezo.

Akifungua maadhimisho hayo Mkurugenzi Mtendaji wa Ngara aliieleza hadhara jitihada za Serikali katika kutoa fursa mbalimbali zinazokusudia kumwinua mwanamke kutoka kwenye hali duni ya uchumi. Mkurugenzi alieleza kuwa Halmashauri imeendelea na jitihada za kuwawezesha wanawake kiuchumi kwa kutoa asilimia kumi (10%) ya mapato yake kwa ajili ya kuwainua wanawake ingawa mwitikio wa wanawake bado hauridhishi.

“Tumieni fursa hii ya kukutana kwenu kwenye siku hii muhimu kupeana elimu na kuwafikishia elimu wale ambao bado wako gizani juu ya fursa mbalimbali za wanawake wanazoweza kuzipata kwa faida yao. Mfano ni asilimia ya fedha inayotolewa na Halmashauri ambapo wengi bado hawajajitokeza ili wanufaike nayo.Pia mkiondoa kuchukiana nyinyi kwa nyinyi,mkawa na uthubutu wa kuchangamkia fursa mbalimbali za maendeleo na mkaondoa ubinafsi basi usawa wa kimaendeleo na kijamii utawezekana. Ila yakikosekana hayo ni ngumu kwa mwanamke kujikwamua kama kauli mbiu inavyosema.”alisema Mkurugenzi Mtendaji wa Ngara.

Naye mgeni Rasmi Ndugu Issa Samma katika hotuba yake aliwasisitiza wanawake katika kushirikiana na kupendana wao kwa wao kwanza maana ndio nguzo kuu za kufanikiwa.

“Pasipo na upendo hakuna maendeleo wala pasipo na ushirikiano hakuwezi kuwa na usawa kama mnavyosema kwenye kauli mbiu yenu”alisema Ndugu Issa Samma.

Katika maadhamisho haya,Wanawake wilayani Ngara walitembelea vituo viwili vya kulea watoto yatima na Wazee vya Karkuta na Malaika vya Rulenge ambapo walitoa mahitaji mbalimbali kwa watoto hao na wazee. Pamoja na yote mgeni Rasmi alitoa mchango wake kwa kikundi cha akina mama wa wilaya ya Ngara pamoja na mahitaji kwa vituo vilivyotembelewa.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa