• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Waacheni Watoto Washindwe Mtihani Msifanye Udanganyifu

Wakati ilipowekwa: September 4th, 2018

“Epukeni mazingira ya kujaribiwa kwa lengo la kuwasadia watahiniwa; kama hamkuwafundisha vizuri waacheni washindwe, kwa sababu itakuwa ndiyo haki yao.” Mkuu wa Wilaya ya Ngara Lt. Col. Michael Mntenjele alitoa wito huo kwa washiriki wa kazi maalumu Septemba 05, 2018.

Mkuu huyo wa Wilaya ya Ngara Lt. Col. Mntenjele, amesema watoto waliojifunza kwa bidii waachwe wafaulu kwa juhudi zao, huku akiwataka washiriki wa kazi hiyo maalumu kuwa wautulivu, wenye akili pamoja na busara.

“Hakikisheni sifa nzuri ya Wilaya ya Ngara inaendelea kudumishwa, na kuhakikisha hakuna udanganyifu katika mithani kwa kusimamia vema mtihani huu.” Alisema Lt. Col. Michael Mntenjele

Hata hivyo, alisisitiza kwamba anatumaini washiriki hao, wataifanya kazi hiyo nyeti ya kitaifa kwa uadilifu mkubwa, na kwa kuzingatia maelekezo ya kusimamizi mitihani yaliyotolewa na Baraza la Mitihani la Tanzania.

Aidha, amesema uteuzi wa washiriki hao, umezingatia mwongozo na taratibu ambao unasisitiza mshiriki lazima awe na sifa zinazokubalika, ambazo ni kuwa mwaminifu na mwadilifu, uzoefu kazini, afya njema, sifa za kitaaluma pamoja na kufanya shughuli hii kwa kuzingatia maadili ya ualimu.

“ Kuteuliwa kwenu kunaonyesha imani kubwa aliyonayo kiongozi wenu katika utendaji wenu wa kazi, uadiili na uamnifu mlionao katika kutimiza wajibu wenu. kwa hiyo ni matumaini yangu kwamba amtaiangusha mamlaka iliyowateua kufanyakazi hii.” Alisema Lt. Col. Michael Mntenjele.

Naye Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ngara na Mwenyekiti wa Kamati ya Mitihani (W) Ndugu Aidani John Bahama, ametoa wito kwa washiriki hao, kuwa watulivu vituoni na kuacha tabia ya ulevi na vitendo viovu.

“Uzoefu umeonyesha kwamba baadhi yanu tunapowapeleka kwenye vituo vya kazi maalumu, wanadhani ni sehemu ya mapumziko, wanalewa kisha wanasahau kazi iliyowapeleka huko.” alionya Mwenyekiti wa Kamati ya Mitihani (W) Ndugu Bahama.

Ametoa rai kwa washiriki kwamba serikali haitamvumilia mtu anayeacha majukumu, huku akiwataka kuifanya kazi hiyo kwa weledi na uaminifu mkubwa ili hata mwakani waweze kuteuliwa tena.

Akiwa ofisini kwake Afisaelimu Idara ya Msingi Halmashauri ya Wilaya ya Ngara Ndugu Gideon Mwesiga, amesema mwaka 2018 watainiwa ni 5,095; wasichana ni 2,644 na wavulana ni 2,451.

Amesema kati yao watahiniwa watatu wavulana wawili na msichana mmoja, wana uoni hafifu (Low Vision); ambapo wavulana wanatoka shule ya msingi ya Ruganzo na msichana anatoka katika shule ya msingi ya Muhweza.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa