• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Waelimisheni Kulipa Kodi kwa Hiari Siyo Kufunga Biashara zao; Brig. Jen. Gaguti

Wakati ilipowekwa: January 16th, 2019

Mamlaka ya Mapato Tanzania Mkoani Kagera (TRA) wametakiwa kuwaelimisha wafanyabiashara juu ya umuhimu wakulipa kodi bila shuruti, badala ya kufunga biashara zao na agizo hilolinatekelezwa kuanzia Januari 2019.

Mkuu wa Mkoa wa KageraBrigedia Jenerali Marco E. Gaguti ametoa agizo hilo Janauri 11, 2019 wakati wakikao cha Baraza la Wafanyabiashara kilichofanyika katika Ukumbi wa Manispaa yaBukoba. 

Mkuu huyo wa mkoa aliwaitawafanyabiashara hao, ili kusikikiliza kero zao kwa lengo la kuboresha ulipajiwa kodi kwa serikali Mkoani Kagera, pamoja na kufikia malengo ya ukusanyaji wakodi kwa mwaka 2018/2019 kwa asilimia 100%.

Wafanyabiashara walipewanafasi ya kuchangia namna bora ya kuhakikisha kodi inakusanywa kwa asilimia 100%na wafanyabiashara wote wanalipa kodi hiyo katika mazingira rafiki yasiyokuwana bughudha yoyote.

Wafanyabiashara walilalamikia utendajikazi wa  Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuwa hawawaelimishi wafanyabiasharaumuhimu wa kutoa kodi ili kuwajengea mazingira mazuri ya kulipa kodi hiyo jamboambalo limepelekea wafanayabisahara wengi kufunga biashara zao.

Baada ya kutoa dukuduku zao, Mkuuwa Mkoa Brig. Jen. Gaguti aliwataka TRA Mkoani Kagera wajenge mazingira mazuri ambayoyatawawezesha wafanyabiashara hao kufanya biashara na kulipa kodi bilakushurutishwa, huku akisistiza kuwepo na takwimu sahihi za wafanyabiashara mkoanihumo.

Alitoa siku kumi na nne kwaMamlaka za Serikali za Mitaa, kuwatumia Viongozi na Watendaji katika ngazi zaKata hadi Vijiji kuwatambua wafanyabiashara wote, ili kuwe na takwimu sahihi yawananchi wanaofanya biashara kwani Mkoa wa Kagera ulipaji kodi ni 0.4% tu.

Aidha, aliitaka TRA kutanua wigo wakukusanya kodi hasa kodi za majengo na ardhi, huku akiwataka wafanyabiasharakuwa wakweli katika kutoa takwimu zao za biashara, ili wasikwepe kodi na walawasionewe. 

Mkuu huyo wa Mkoa Brig.Jen. Gaguti aliitangaza tarehe 25 hadi 30 Machi, 2019, kuwa ni wiki ya Mkoa wa Kagerana kuwaomba wananchi katika Sekta zote kushiriki kuutangaza Mkoa wa Kagerakatika wiki hiyo.

Wakati huo huo, Katibu Tawala waMkoa wa Kagera Prof. Faustine Kamuzora, aliwahakikishia Wafanyabiashara uongoziwa mkoa umejipanga kuondoa vikwazo, vinavyorudisha juhudi za wafanyabiashara nyuma,na kwamba serikali ya Awamu ya Tano inataka kila mwananchi anajimudu kiuchumi.

Profesa Kamuzora alisema kuwaatahakikisha anaimarisha Mabaraza ya Wfananyabiashara ya Wilaya na Mkoa ilikuhakikisha Sekta binafsi inashirikiana na Serikali kikamilifu katika kuchumiwa Mkoa na Taifa kwa ujumla

“Jana wakati nimefika hapa mkoaniniwauliza wenzangu kuwa mkoa wetu hivi leo unacheza ngazi gani ya liginikaambiwa unacheza ndondo cup, wakati ule Kagera tulikuwa tunawika katika PremiereLeague, lakini sasa Ndondo? Hapana! hatutakiwi kuwa ndondo tunatakiwakuwa Premiere.” Alisissitiza Prof. Kamuzora

Mara baadaya kikao cha Baraza laBiashara la Mkoa wa Kagera kumalizika Mkuu wa Mkoa na Katibu Tawala wa Mkoapamoja na viongozi wengine, walitemblea baadhi ya Wafanyabiashara kusikiliza changamotowanazokumbana nazo, ili kuzitafutia ufumbuzi na kuweka mazingira rafiki ya biasharana kulipa kodi kwa utashi.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa