• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Wahitimu wa Kidato cha Nne 2018 Ruksa Kubadilisha Tahsusi (Combinations)

Wakati ilipowekwa: April 3rd, 2019

Serikali imetoa fursa kwa wanafunzi waliofaulu kidato cha nnemwaka 2018 na wanaotegemea kujiunga na kidato cha tano pamoja na vyuo kwa mwaka2019 kubadilisha Tahsusi(Combination).

Akitoa taarifa kwa vyombo vyaHabari Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mhe.Selemani Jafo Serikali ya Awamu ya Tano inawapa wahitimu hao fursa ya kufanyamabadiliko ya machaguo ya Tahasusi (Combination) na kozi mbalimbali walizozichaguakwenye fomu ya “F4-Selform.

Amesema Fursa hii itawawezeshawanafunzi kurekebisha machaguo yao kulingana na ufaulu waliopata kwenye matokeoya Kidato cha Nne 2018 yaliyotangazwa na Baraza la Mitihani Tanzania, NECTA.

“Kwa mara ya kwanza Wanafunziwatakuwa na uwezo wa kubadili machaguo au kuchagua kutoka Kidato cha Tanokwenda Chuo au Chuo kwenda Kidato cha Tano kwa kadiri ya mahitaji yake na jinsialivyofaulu mitihani yake” alisema Jafo.

Unajua wanafunzi hujaza Fomu zaF4-Selform kabla ya kufanya mitihani sasa matokeo huweza kuja tofauti na vilealivyojaza lakini mwanafunzi huyo amefaulu hivyo ni wakati sasa kwa kubadilishamachaguo kwa kadiri ya ufaulu wake na anavyopendelea mwenyewe alisisitiza Jafo.

Aidha Waziri aliongeza kuwaOfisi yangu imetoa fursa hii kwa wahitimu kubadili machaguo yao ili kutoamwanya zaidi kwa mwanafunzi kusoma fani au Tahasusi itakayomwandaa kuwa namtaalam fulani katika maisha yake ya baadaye kwa namna ambayo anatamani yeyemwenyewe au kwa kushauriwa na wazazi au walezi wake; Hii ni kutokana na ukwelikwamba baadhi ya wanafunzi hawakujaza kwa uhakika Tahasusi au Kozi zao kutokanana kutokuwa na uhakika wa ufaulu katika masomo yao.

Aliongeza kuwa zoezi la awalila kuingiza taarifa zilizo kwenye “Selform” za wanafunzi kwenye kanzidata yaOfisi ya Rais - TAMISEMI, kama zilivyojazwa wakiwa shuleni kabla ya kuhitimulimekamilika na sasa wanafunzi wataweza kufanya mabadiliko kwa njia ya mtandao,(online) na baada ya wanafunzi kufanya marekebisho yao, kanzidata hii ndiyoitakayotumika kuwachagua na kuwapangia kidato cha Tano na Kozi za Vyuo.

Waziri Jafo aliwakumbushawahitimu wote  kuwa, endapo wanapenda kurekebisha machaguo ya Tahasusi naKozi au kuhama kutoka Chuo kwenda Kidato cha Tano kulingana na ufaulu waokatika masomo wanatakiwa kuingia kwenye mfumo wa Selform unaopatikana katikaanuani ya www.selform.tamisemi.go.tz na   maelekezo ya jinsi ya kufanyamabadiliko watayapata kwenye video ya mafunzo  inayopatikana kwenye tovutiya TAMISEMI www.tamisemi.go.tz

Pia alifafanua kuwa Ili mhitimuaweze kuingia kwenye mfumo itabidi kutumia namba ya mtihani wa kuhitimu Kidatocha Nne mwaka 2018, jina lake la mwisho, mwaka wa kuzaliwa na alama ya ufaulualiyopata kwenye somo atakaloulizwa na mfumo au swali lolote atakaloulizwa. 

Zoezi hili la kubadilishaTahasusi litafanyika kuanzia tarehe 01/04/2019 hadi tarehe 15/04/2019.

Na - OR-TAMISEMI

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa