• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Wakuu Ongezeni Bidii Tufute Daraja la III na IV Mwaka 2018/2019

Wakati ilipowekwa: July 27th, 2018

“Wakuu wa shule za sekondari za kidato cha IV wasibweteke na matokeo waliyoyapata mwaka huu, badala yake waongeze juhudi, ili lengo la Halmashauri ya Wilaya ya Ngara la kufuta daraja la III na IV litimie.” Alisema Kaimu Afisa Elimu Sekondari Ndugu Martin James.

Ndugu James akiwa ofisini kwake Julai 2018, amewapongeza wakuu wa shule kwa kazi nzuri waliyoifanya, kwani shule 04 kati ya 05 za kidato cha IV katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, zimejitokeza kati ya 10 bora kimkoa.

Wanafunzi waliohitimu kidato cha sita katika mwaka wa masomo 2017/2018, wilayani Ngara wamefaulu kwa kupata daraja I hadi la III, ambapo wanafunzi 5 pekee ndiyo walipata daraja la IV na hakuna ziro.

Amefafanua kwamba kimkoa shule ya sekondari ya Rulenge imekuwa ya 03 na imekuwa ya 31 kitaifa kati ya shule 543 zilizofanya mtihani huo; huku ikiwa na wanafunzi 13 waliopata daraja la I, daraja la pili 25 na la tatu 03 hakuna daraja la 04 na ziro.

Shule nyingine ni Lukole ambayo imekuwa ya 05 kimkoa na kitaifa ikawa ya 89 kwa kuwa na wanafunzi 42 waliopata daraja la kwanza, daraja la pili 195 na la tatu wanafunzi 59; shule ya sekondari Muyenzi imekuwa ya 06 kimkoa na kitaifa ikawa ya 99 kwa kupata daraja la kwanza 03, la pili 50 na la tatu 11 hakuna daraja la IV na ziro.

Shule ya sekondari Kabanga imeshika nafasi ya 10 kimkoa na kitaifa imekuwa ya 195 kwa kupata daraja la kwanza 20, la pili 73, la tatu 52, daraja la IV 04 hakuna ziro; huku shule ya sekondari ya Murusagamba imekuwa ya 13 kimkoa na kitaifa imeshika nafasi ya 248 kwa kupata daraja la kwanza 03, la pili 26, la tatu 18 na daraja la IV mmoja tu hakuna ziro.

Aidha, Kaimu Afisaelimu huyo amesema kwamba kufuatia maandalizi waliyofanya na wakuu wa shule za sekondari na idara ya elimu sekondari, anatumaini matokeo ya kidato cha IV mwaka 2018 watafanya vizuri kama ndugu zao wa kidato cha VI.

Matangazo

  • TANGAZO LA TATHMINI YA UJUZI NA UZOEFU KATIKA WILAYA YA NGARA KUTOKA TEMBO NICKEL August 30, 2022
  • MREJESHO WA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI KWA MWAKA WA FEDHA 2022/2023 KWA KAMATI YA FEDHA, UTAWALA NA MIPANGO TAREHE 12 AGOSTI, 2022 September 23, 2022
  • MATOKEO YA DARASA LA SABA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA NGARA December 04, 2022
  • RIPOTI YA ATHARI ZA KIMAZINGIRA NA KIJAMII MRADI WA MAEGESHO YA MAGARI BENAKO December 01, 2022
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • NGARA OIL YATOA KATONI ZA MAJI NA JUICE KWA AJILI YA MAADHIMISHO YA UHURU WA TANZANIA BARA KIWILAYA.

    December 06, 2023
  • CHAMA CHA WALIMU WILAYA YA NGARA CHATOA KATONI ZA MAJI NA JUICE KWA AJILI YA MAADHIMISHO YA SIKU YA UHURU KI-WILAYA.

    December 06, 2023
  • RATIBA YA MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA UHURU WA TANZANIA BARA WILAYANI NGARA KUANZIA TAREHE 04/12/2023 HADI 11/12/2023

    December 13, 2023
  • NGARA YAANZA WIKI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 62 YA UHURU WA TANZANIA BARA KIWILAYA.

    December 05, 2023
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa