• Malalamiko |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za watumishi |
Ngara District Council
Ngara District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya wilaya ya Ngara

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dhima na Dira
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ukaguzi wa ndani
      • TEHAMA na Uhusiano
      • Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Ufugaji wa Nyuki
    • Idara
      • Rasilimali watu na utawala
      • Mipango na Ufuatiliaji wa Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu
        • Elimu ya Msingi
        • Elimu ya sekondari
        • Kwa wanafunzi
          • Mitihani iliyopita
            • Kidato cha IV
      • Maji
        • Maji Mjini
        • Maji Vijijini
      • Kilimo, umwagiliaji na ushirika
      • Mifugo na uvuvi
      • Ardhi na maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Ujenzi na zimamoto
      • Usafi na Mazingira
    • MSM
      • Huduma katika MSM
      • Muundo wa MSM
    • Kata
  • Fursa za uwekezaji
    • Utalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma zetu
    • Huduma za kisheria
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Uchumi, Afya na Elimu
      • Ukimwi
      • Maadili ya Msingi
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
      • Mipango Miji na Mazingira
    • Ratiba
      • Vikao vya waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Huduma kwa wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu mbalimbali
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya habari
    • Video
    • Hotuba
    • Nyumba ya Picha

Wakuu Ongezeni Bidii Tufute Daraja la III na IV Mwaka 2018/2019

Wakati ilipowekwa: July 27th, 2018

“Wakuu wa shule za sekondari za kidato cha IV wasibweteke na matokeo waliyoyapata mwaka huu, badala yake waongeze juhudi, ili lengo la Halmashauri ya Wilaya ya Ngara la kufuta daraja la III na IV litimie.” Alisema Kaimu Afisa Elimu Sekondari Ndugu Martin James.

Ndugu James akiwa ofisini kwake Julai 2018, amewapongeza wakuu wa shule kwa kazi nzuri waliyoifanya, kwani shule 04 kati ya 05 za kidato cha IV katika Halmashauri ya Wilaya ya Ngara, zimejitokeza kati ya 10 bora kimkoa.

Wanafunzi waliohitimu kidato cha sita katika mwaka wa masomo 2017/2018, wilayani Ngara wamefaulu kwa kupata daraja I hadi la III, ambapo wanafunzi 5 pekee ndiyo walipata daraja la IV na hakuna ziro.

Amefafanua kwamba kimkoa shule ya sekondari ya Rulenge imekuwa ya 03 na imekuwa ya 31 kitaifa kati ya shule 543 zilizofanya mtihani huo; huku ikiwa na wanafunzi 13 waliopata daraja la I, daraja la pili 25 na la tatu 03 hakuna daraja la 04 na ziro.

Shule nyingine ni Lukole ambayo imekuwa ya 05 kimkoa na kitaifa ikawa ya 89 kwa kuwa na wanafunzi 42 waliopata daraja la kwanza, daraja la pili 195 na la tatu wanafunzi 59; shule ya sekondari Muyenzi imekuwa ya 06 kimkoa na kitaifa ikawa ya 99 kwa kupata daraja la kwanza 03, la pili 50 na la tatu 11 hakuna daraja la IV na ziro.

Shule ya sekondari Kabanga imeshika nafasi ya 10 kimkoa na kitaifa imekuwa ya 195 kwa kupata daraja la kwanza 20, la pili 73, la tatu 52, daraja la IV 04 hakuna ziro; huku shule ya sekondari ya Murusagamba imekuwa ya 13 kimkoa na kitaifa imeshika nafasi ya 248 kwa kupata daraja la kwanza 03, la pili 26, la tatu 18 na daraja la IV mmoja tu hakuna ziro.

Aidha, Kaimu Afisaelimu huyo amesema kwamba kufuatia maandalizi waliyofanya na wakuu wa shule za sekondari na idara ya elimu sekondari, anatumaini matokeo ya kidato cha IV mwaka 2018 watafanya vizuri kama ndugu zao wa kidato cha VI.

Matangazo

  • RATIBA YA MKUU WA WILAYA YA NGARA MHE COL MATHIAS J KAHABI TAREHE 18/11/2024 MPAKA TAREHE 24/11/2024 November 18, 2024
  • TANGAZO LA WITO KWA WATUMISHI WA UMMA WALIOOMBA KUWAFUATA WENZA WAO November 19, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA WILAYANI NGARA KWENYE TARAFA ZA MURUSAGAMBA NA RULENGE November 22, 2024
  • SEMINA YA UCHAGUZI WA SERIKALI ZA MITAA KWA WASIMAMIZI WA VITUO IMEFANYIKA TARAFA ZA KANAZI NA NYAMIAGA November 24, 2024
  • Tazama zote

Habari mpya kabisa

  • DC NGARA MHE COL MATHIAS KAHABI AKUTANA NA BRIG GEN GABRIEL E. KWILIGWA - KAMANDA BRIGDE YA MAGHARIBI.

    May 16, 2025
  • MHE COL MATHIAS JULIUS KAHABI DC NGARA ASHIRIKI USAFI NA WANANCHI WA NAKATUNGA

    May 15, 2025
  • MWENYEKITI WA CCM AENDELEA NA ZIARA YA KUTEMBELEA NA KUKAGUA MIRADI YA MAENDELEO - NGARA

    May 16, 2025
  • KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MRADI WA AFUA ZA LISHE WA KILIMO CHA MAHINDI CHAFANYIKA - NGARA

    May 16, 2025
  • Tazama zote

Video

ZIARA YA KAMATI ZA BUNGE KUTEMBELEA TEMBO NICKEL WILAYANI NGARA KAGERA
Video za ziada

Kurasa za haraka

  • Reports
  • Acts
  • Application form
  • Organization Structure
  • E-MREJESHO

Kurasa mashuhuri

  • PSM (Public Service Management)
  • PO-RALG
  • NECTA
  • NACTE
  • Sekretarieti ya ajira
  • Mfumo wa kutuma,kupokea na kufuatilia malalamiko,mapendekezo,maulizo na pongeza(eMalalamiko)

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya eneo la Ngara

Wasiliana nasi

    Ngara District Council

    Anuani ya Posta: P.O.Box 30, Ngara

    Simu ya mezani: 0282226016

    Simu ya mkononi:

    Barua pepe: ded@ngaradc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Hakimilki ©2017 Halmashauri ya wilaya ya Ngara. Haki zote zimehifadhiwa